kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
HIZI NAZO TUSIZISAHAU, BONGO NI YETU WOTE, MATAJIRI NA MASIKINI.
Kweli mkuu hapo tuko pamoja,ni maeneo ya kawe nini?
HIZI NAZO TUSIZISAHAU, BONGO NI YETU WOTE, MATAJIRI NA MASIKINI.
Kwa kweli pametulia.
-Barabara Nzuri,
-Green revolution, miti ya kumwaga
-Zaid sana...kuna Tangazo la Salama Kondo, UKISHINDWA KUJIZUIA TUMIA SALAMA KONDO!
wAPI HII, Shekilango?
HIZI NAZO TUSIZISAHAU, BONGO NI YETU WOTE, MATAJIRI NA MASIKINI.
Ndg wana jamii this is very serious na hawa ndugu zetu wanahitaji kufaidi matunda ya uhuru tusije kuwa sahau. Nauliza wanajamii na wataalamu wa mazingila, mipango miji na mazingira Mama Tibaijuka, hawa wasaidwe vipi?????