Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,348
- 5,977
Sidhani kama wewe ni mzima,so ngoja nikuache.Inaonekana Kuna Mtu Hapo KAKUJAMBIA Hivyo UMELEWA Harufu. Pole Sana Mkuu!
Sidhani kama wewe ni mzima,so ngoja nikuache.Inaonekana Kuna Mtu Hapo KAKUJAMBIA Hivyo UMELEWA Harufu. Pole Sana Mkuu!
Asante sanana je kwanini alijiita Sadam Husein?
Sidhani kama wewe ni mzima,so ngoja nikuache.
Mwenye no ya WhatsApp aiweke hapa ili nimpe ngoma tatu nilizonazo za JIBEE ili aziweke hapa audio bcoz mm nimechemka kabisa.
Kuna Mijitu Humu Inataka Kulinganisha Mbingu Na Ardhi Kwa UPOPOMA Wao. Hivi Kwa Mtu Kweli Unayejua Muziki Unaweza Kusema Koffi Olomide Ni Zaidi Ya JB MPIANA? Watoto Mmekuwa Juzi Juzi Tu Hapa Leo Koffi KAWAPOFUA Tu Na EKOTITEE a.k.a SELFIE Mmepagawa Na Kumwona FUNDI Na Kumwita DJ MOPAO Wakati Tokea JB MPIANA Atoe Album Yake Ya INTERNET Alishapewa Hadhi Ya U DJ Na Miziki Yake Mingi Anaipika Mwenyewe Ktk Studio Yake. Kumfananisha JB MPINA Na KOFFI OLOMIDE Ni Sawa Na Kuifananisha New York City ( JB MPIANA ) Na Tandahimba Town ( KOFFI OLOMIDE ).
Kuna Mijitu Humu Inataka Kulinganisha Mbingu Na Ardhi Kwa UPOPOMA Wao. Hivi Kwa Mtu Kweli Unayejua Muziki Unaweza Kusema Koffi Olomide Ni Zaidi Ya JB MPIANA? Watoto Mmekuwa Juzi Juzi Tu Hapa Leo Koffi KAWAPOFUA Tu Na EKOTITEE a.k.a SELFIE Mmepagawa Na Kumwona FUNDI Na Kumwita DJ MOPAO Wakati Tokea JB MPIANA Atoe Album Yake Ya INTERNET Alishapewa Hadhi Ya U DJ Na Miziki Yake Mingi Anaipika Mwenyewe Ktk Studio Yake. Kumfananisha JB MPINA Na KOFFI OLOMIDE Ni Sawa Na Kuifananisha New York City ( JB MPIANA ) Na Tandahimba Town ( KOFFI OLOMIDE ).
Hiyo album ilisababisha kundi kumegeka baada ya Mpiana kukataa kuwagawia mauzo wenzie akampa jamaa mmoja tu walimshirikisha. Nimemsahau jina aliwahi kupata soo la kuingiza watu Ufaransa kiujanja.
Katika wanamuziki wote wa Congo huyu jamaa ndio kiboko yangu. Napenda sana kusikiliza na kucheza nyimbo zake. Sijawahi kuhudhuria show ya mwanamuziki wa nje ya nchi, lakini alipokuja JB Mpiana pale leaders, kwa kweli nilihudhuria. Nafeel ile burudani ya ukweli hasa ninaposikia kibao chake chochote kile. Nilikua nina kanda ambayo inabeba kibao hicho mleta mada umekitaja. Kwa kweli nilikua nairudi hata mara kumi sikichoki.
Yap Papa na Cherry Tshtuka Mukulu Mukulu Souvere Bin Adam aliutunga na KUUISHI wimbo huu kwa MKE wake Kipenzi AMIDA SHANTUR, hata baada ya MKE wake huyo kuzaa naye watoto watatu na KUKIMBILIA KWA YULE PAPAA WA MAWE MWENYE NGOZI NENE DIDI KINUANI, PAPA DIDI STONE, JB MPIANA hakuoa mwanamke mwingine alivumilia yote hayo KWA MUDA WA MIAKA NANE mpaka MAMA AMIDA SHANTUR MAPENZI YALIPOKWISHA KWA TAJIRI AKIWA AMEZAA NAYE MTOTO MMOJA, KWA JINSI JB MPIANA ALIVYOKUWA NA MAPENZI MAZITO YA MUDA MREFU KAMA MASHABIKI WAKE ALIMREJEA MKE WAKE KIPENZI PAMOJA NA YULE MTOTO WA YULE TAJIRI.
KURUDI KWA MAMA AMIDA SHANTUR AMBAYE JB MPIANA ALIMWONA kwa mara ya kwanza mitaa ya PAris ambapo ilibidi aache gari kwenye foleni na kumkimbilia kwa miguu na kumtungia nyimbo za mapenzi zimerudisha nguvu tena BAADA YA UCHUNGU NA MATESO YA TAKRIBANI MIAKA KUMI.
JB MPIANA ANA MAPENZI MAZITO KAMA WALIVYO MASHABIKI WAKE!
Kumbe wapenzi wa WENGE MUSICA BCBG tupo wengi humu.Mimi namzimikia sana huyu jamaa.wakati wote na nina collection zake nyingi sana