Moja ya Maamuzi mabovu ya Kikwete haya hapa..

Typical white people Mumbo Jumbo

all of a sudden wanaonyesha interest na sisi lakini ukweli ukitazama the entire reporting hakuna kilio cha wananchi watakao faidika na mradi huu...in short nimesikita kuwa wanataka kuifanya only two way road badala ya proper highway yenye lanes 8 nne kwenda nne kurudi na in betwetween wajenge mahoteli na kadhalika

Naona JK anachelewesha huu mradi kwa sababu ya political correctness kuwasikiliza wenda wazimu hawa. Ingekuwa China tayari barabara ingekuwa ishaisha na kila mtu angekuwa kimya

enough with ECO-IMPERIALISM toka kwa hawa wazungu
 
Typical white people Mumbo Jumbo

all of a sudden wanaonyesha interest na sisi lakini ukweli ukitazama the entire reporting hakuna kilio cha wananchi watakao faidika na mradi huu...in short nimesikita kuwa wanataka kuifanya only two way road badala ya proper highway yenye lanes 8 nne kwenda nne kurudi na in betwetween wajenge mahoteli na kadhalika

Naona JK anachelewesha huu mradi kwa sababu ya political correctness kuwasikiliza wenda wazimu hawa. Ingekuwa China tayari barabara ingekuwa ishaisha na kila mtu angekuwa kimya

enough with ECO-IMPERIALISM toka kwa hawa wazungu

Nadhani una mamtatizo,,. hao jamaa wanajaribu kutusaidia tuliolala madhara ya huo mradi wa kukurupuka. Watu sio wajinga wanaposema hifadhi ziachwe as natural as possible . Afrika ya kusini pamoja na maendeleo yake yote mpaka leo huwezi ona barabara ya lami kwenye mbuga zao.
Watalii wanakuja angalia Serengeti moja ya sifa zake ni kutokuharibiwa na shughuli za binadamu sasa hiyo barabara italeta disaster sana kwa wanyama badala kuliko hata hiyo faida ya kulazimisha ambayo ingetumia njia mbadala.
 
Back
Top Bottom