Mythbuster
Member
- Dec 12, 2010
- 92
- 50
Typical white people Mumbo Jumbo
all of a sudden wanaonyesha interest na sisi lakini ukweli ukitazama the entire reporting hakuna kilio cha wananchi watakao faidika na mradi huu...in short nimesikita kuwa wanataka kuifanya only two way road badala ya proper highway yenye lanes 8 nne kwenda nne kurudi na in betwetween wajenge mahoteli na kadhalika
Naona JK anachelewesha huu mradi kwa sababu ya political correctness kuwasikiliza wenda wazimu hawa. Ingekuwa China tayari barabara ingekuwa ishaisha na kila mtu angekuwa kimya
enough with ECO-IMPERIALISM toka kwa hawa wazungu