Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Hivi hapa Tanzania ni asilimia ngapi ya watanzania wanatumia umeme? Lazima tujue kuwa tunapolifanya tatizo la umeme kuwa ni janga la Taifa tunawakosea wengine wenye matatizo makubwa zaidi ktk maswala ya Afya, Elimu na Usafiri.
Umeme bado kwa asilimia kubwa bado unategemea vyanzo vya maji hivyo jibu lake kwa short run solution yupo sawa maana wengi wanalaamu kwa wakati huu ila kwa long-run walisha sema ifikapo 2015 tatizo litakuwa historia. Tatizo lipo wapi hapo.
Kama huoni tatizo liko wapi, basi wewe mwenyewe ni tatizo!!!!!
Tiba