MOI hoi bin taabani

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,790
288,005
By Herieth Makwetta, Mwananchi hmakweta@mwananchi.co.tz


Dar es Salaam. Ufinyu wa bajeti katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) umesababisha taasisi hiyo kuzidiwa na wagonjwa wa upasuaji, huku wengine wakisubiri huduma hiyo kwa zaidi ya miezi minne.

Kabla ya tatizo hilo la kifedha MOI ilianzisha kambi maalumu ya Jumamosi na Jumapili na waliweza kuhudumia wagonjwa hadi 30 kwa siku hizo mbili.

MOI kwa kawaida hutoa huduma ya upasuaji kwa wagonjwa wanane hadi 10 kwa siku, lakini kutokana na ufinyu wa bajeti uliosababisha kuondolewa kambi za mwishoni mwa wiki, umesababisha ongezeko la idadi kubwa ya wagonjwa wanaohitaji upasuaji.

Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi katika wodi ya MOI jengo jipya, umebaini uwapo wa idadi kubwa ya wagonjwa waliokaa muda mrefu wakisubiri huduma ya upasuaji, huku wengine wakirejeshwa nyumbani.
 
Kumbe zile ziara za Muhimbili kupeleka vitanda etc za awamu hii zilikuwa ni mbwembwe tu ya nguvu ya soda. Sasa Muhimbili inaanza kuelemewa kutokana na ufinyu wa bajeti na si ajabu hali hii inaathiri kila idara na si MOI pekee.
 
Ni bora wakaachana na Mambo ya miundombinu hizo ela wakaelekeza kwenye afya
 
Dadaangu Umi mwalimu ajiangalie na awe makini kama waziri husika tena sana maamuzi ya Afya ni uhai wa mtu na sio jambo la kumfrahisha raisi sababu ya kubana matumizi halaf nauliza huyu hamisi kigangwala si daktar mbona Yuko kimya kwa haya jaman uongozi ni dhamana na mtu akifa au kupoteza kiungo kwa makusudi mtakuja wajibika duniani na akhera.
 
Mkuu BAK nimekuja faster nikidhan yule rais wa Kenya yupo hoi. Ila kazeeka sana lakin si wanalingana kiumri ama wamepishana kidogo na mzee ruksa lakin angalia ruksa alivyo strong nadhan hii ni kwasabab ruksa hakukandamiza demokrasia
 
Dadaangu Umi mwalimu ajiangalie na awe makini kama waziri husika tena sana maamuzi ya Afya ni uhai wa mtu na sio jambo la kumfrahisha raisi sababu ya kubana matumizi halaf nauliza huyu hamisi kigangwala si daktar mbona Yuko kimya kwa haya jaman uongozi ni dhamana na mtu akifa au kupoteza kiungo kwa makusudi mtakuja wajibika duniani na akhera.
ummy kapewa kazi kubwa sana, sijaona umuhimu wa kuunganisha afya na maendeleo ya jamii.
 
ASEME TU KAMA MAJUKUMU ALOPEWA NI MAKUBWA MAANA KATIKA AFYA SIASA HAINA NAFASI NI UTAALAMU TU HII WIZARA DAIMA WANAPEWA MA DK SASA NASHANGAA SIO KILA SEHEMU MAJARIBIO JAMAN BABA MAGUFULI TUNAKUOMBA WIZARA YA AFYA IPIGE JICHO MSAADA WAKO WA DHATI UNAHITAJIKA AFYA ZA WATU DHAMANA KUBWA

ummy kapewa kazi kubwa sana, sijaona umuhimu wa kuunganisha afya na maendeleo ya jamii.
 
By Herieth Makwetta, Mwananchi hmakweta@mwananchi.co.tz


Dar es Salaam. Ufinyu wa bajeti katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) umesababisha taasisi hiyo kuzidiwa na wagonjwa wa upasuaji, huku wengine wakisubiri huduma hiyo kwa zaidi ya miezi minne.

Kabla ya tatizo hilo la kifedha MOI ilianzisha kambi maalumu ya Jumamosi na Jumapili na waliweza kuhudumia wagonjwa hadi 30 kwa siku hizo mbili.

MOI kwa kawaida hutoa huduma ya upasuaji kwa wagonjwa wanane hadi 10 kwa siku, lakini kutokana na ufinyu wa bajeti uliosababisha kuondolewa kambi za mwishoni mwa wiki, umesababisha ongezeko la idadi kubwa ya wagonjwa wanaohitaji upasuaji.

Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi katika wodi ya MOI jengo jipya, umebaini uwapo wa idadi kubwa ya wagonjwa waliokaa muda mrefu wakisubiri huduma ya upasuaji, huku wengine wakirejeshwa nyumbani.

TUTAIHAMISHIA DODOMA, HALI ITAKUWA SAFI VUTENI SUBRA WAGONJWA
 
Samahani Mkuu sikuliona hilo kosa kabla la kuhusisha huu uzi na Daniel Arap Moi, vinginevyo ningetumia Muhimbili.

Mkuu BAK nimekuja faster nikidhan yule rais wa Kenya yupo hoi. Ila kazeeka sana lakin si wanalingana kiumri ama wamepishana kidogo na mzee ruksa lakin angalia ruksa alivyo strong nadhan hii ni kwasabab ruksa hakukandamiza demokrasia
 
Vuteni subraaa serikali hii sikivu na ambayo inawajali wananchi wake soon itaweka mambo Sawa hapo MOI.....

Ova
 
By Herieth Makwetta, Mwananchi hmakweta@mwananchi.co.tz


Dar es Salaam. Ufinyu wa bajeti katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) umesababisha taasisi hiyo kuzidiwa na wagonjwa wa upasuaji, huku wengine wakisubiri huduma hiyo kwa zaidi ya miezi minne.

Kabla ya tatizo hilo la kifedha MOI ilianzisha kambi maalumu ya Jumamosi na Jumapili na waliweza kuhudumia wagonjwa hadi 30 kwa siku hizo mbili.

MOI kwa kawaida hutoa huduma ya upasuaji kwa wagonjwa wanane hadi 10 kwa siku, lakini kutokana na ufinyu wa bajeti uliosababisha kuondolewa kambi za mwishoni mwa wiki, umesababisha ongezeko la idadi kubwa ya wagonjwa wanaohitaji upasuaji.

Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi katika wodi ya MOI jengo jipya, umebaini uwapo wa idadi kubwa ya wagonjwa waliokaa muda mrefu wakisubiri huduma ya upasuaji, huku wengine wakirejeshwa nyumbani.
Yap huu mziki mpaka miaka 5 tutajipunguza tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kumbe zile ziara za Muhimbili kupeleka vitanda etc za awamu hii zilikuwa ni mbwembwe tu ya nguvu ya soda. Sasa Muhimbili inaanza kuelemewa kutokana na ufinyu wa bajeti na si ajabu hali hii inaathiri kila idara na si MOI pekee.
Mkuu omba sana kwa mungu wako usipatwe na magonjwa
 
By Herieth Makwetta, Mwananchi hmakweta@mwananchi.co.tz


Dar es Salaam. Ufinyu wa bajeti katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) umesababisha taasisi hiyo kuzidiwa na wagonjwa wa upasuaji, huku wengine wakisubiri huduma hiyo kwa zaidi ya miezi minne.

Kabla ya tatizo hilo la kifedha MOI ilianzisha kambi maalumu ya Jumamosi na Jumapili na waliweza kuhudumia wagonjwa hadi 30 kwa siku hizo mbili.

MOI kwa kawaida hutoa huduma ya upasuaji kwa wagonjwa wanane hadi 10 kwa siku, lakini kutokana na ufinyu wa bajeti uliosababisha kuondolewa kambi za mwishoni mwa wiki, umesababisha ongezeko la idadi kubwa ya wagonjwa wanaohitaji upasuaji.

Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi katika wodi ya MOI jengo jipya, umebaini uwapo wa idadi kubwa ya wagonjwa waliokaa muda mrefu wakisubiri huduma ya upasuaji, huku wengine wakirejeshwa nyumbani.
Wenyewe watukufu na familia zao wakiumwa mafua ni madras apolo
 
Back
Top Bottom