Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,787
kupitia kikwete
aliyekuwa anaendesha gari ni Kikwete, we vipi!
kupitia kikwete
Duh!wiki ya usalama barabarani mkoani Kagera na bado ndani ya wiki moja the bus overturns?tunamshukuru Kikwete na sie hatutaacha kuwazika bandugu betu lakini ccm ikae ikijua,IPO SIKU.
Ninavyofikri kwa sasa serikali ifikilie namna ya kudhibiti hizi ajari..Ajari imekuwa kama sehemu ya Maisha yetu..
hapo ccm imehusika vipi?. Tuache ushabiki usio na maana.
Rushwa inayotolewa na wamiriki wa mabasi kwa askari wa barabarani wewe unadhani ni kosa la nani? Ukiuliza chanzo cha ajali utaambiwa basi lilipakiza abiria wengi kupita kiasi. Au mwendo kasi na askari wapo.
Mohamed Trans nayo ifungiwe, nadhani katika mabasi yanayoongoza kwa ajali nalo hili lipo kwenye orodha! Poleni wajeruhi wote na nawaombea kwa Almight God mpate nafuu.