KAUDO
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 138
- 67
Basi la Mohamed Trans lililokuwa linatoka Dar kwenda Bukoba limepinduka eneo la Kyetema kilometa chache kabla ya kufika Bukoba na kusababisha kifo na majeruhi.
Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Kagera Marison Mwakyoma amethibitisha na kuwa alikuwa anaelekea eneo la tukio.
Tayari abiria mmoja amepoteza maisha na wengine wako hahututi hospitali ya mkoa.
Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Kagera Marison Mwakyoma amethibitisha na kuwa alikuwa anaelekea eneo la tukio.
Tayari abiria mmoja amepoteza maisha na wengine wako hahututi hospitali ya mkoa.