Mamlaka ya usafirishaj nchi kavu na majini(SUMATRA)imeamua kuyafungia mabasi ya kampuni ya SUMRY,TAQWA,MOHAMED TRANS na MASTER CITY kutokana na kusababisha ajali,adhabu hiyo itaanza nov 19 mwaka huu.
TAQWA imekumbana na kiama hicho kutokana na ajali yake ya hivi karibun ambapo watu 18 walifariki baada ya kugongana na lori la Azam,nalo mohamed trans lilipata ajali maeneo ya picha ya NDEGE
sosi:MWANANCHI
TAQWA imekumbana na kiama hicho kutokana na ajali yake ya hivi karibun ambapo watu 18 walifariki baada ya kugongana na lori la Azam,nalo mohamed trans lilipata ajali maeneo ya picha ya NDEGE
sosi:MWANANCHI