mwanamapinduko
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 178
- 41
Wakuu safari kati ya mwanza,dar,shinyanga, geita, kwa basi hili ni kero tupu! Hakuna utaratibu wa siti, wala ratiba ya kuondoka/kufika kwa wale wa Geita kulala feri ya kigongo ndio imekuwa kawaida. Wafanyakazi majibu mabaya wanasema "nenda kokote kwani hao Sumatra na trafiki bosi kawaweka mfukoni" Hivi hizi taasisi zina udogo kiasi gani kutosha kwenye mfuko wa huyo bosi?