Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Ndio ndio......kuna watu kila wakiona sura za wahindi wanakasirika.........hii thread inaonekana ina elements vya chuki dhidi ya wahindi......Sisi hapa tunamzungumzia Mohammed Dewji kama mtu binafsi na haituizungumzii jamii yake. Maendeleo ya kweli ni yapi? huoni kuwa kwa kutumia soka tunaweza pia kuongeza pato la nchi kwenye utalii au hata kuboresha maisha ya vijana mbalimbali ambao wanaweza kuisaidia taifa lao kwa kuchangia kwenye pato la Taifa. Ukianza kujumuisha jamii yake utakuwa unakosea, sisi tunamzungumzia yeye kama mtu binafsi na michango yake mbalimbali. Je Mushi wewe ni Mzalendo? na umechangia nini kwenye Taifa lako?