Avatar Myg
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 675
- 118
Haya ndo mambo yanayonikera... Watu wanaongelea maslahi ya taifa, we unaleta maswala ya udhamini wa chama... Kwahiyo unataka kusemaje? Kwasababu aliidhamini CHADEMA basi ye ni mtakatifu?... Fikiria!Huwa nawaambia kabla ya kutukana angalieni historia huyu Balozi ndie mdhamini Wa kwanza wakati CHADEMA inaanzishwa see the records....