Futota
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 521
- 87
Jamani tangu jana narudi rudi kwenye JF chit-chat nikitafuta muendelezo wa discussion ya mchapo kutoka kwa ndugu Jonesgwalu (sijui kama nimepatia), ilikuwa ni ka mchapo kuhusu mashosti.........na njemba.... mtazamaji (who posted the topic) akitupasha nini hasa kilichotokea kwenye bar moja hapo mtaani. Yaani ni mchapo wa kuvunja mbavu, tatizo sasa umepotea, vipi moderator kulikoni? hebu turudishie bwana LOL