Upo maeneo gani? Kama upo dar ni pm ili ichakachuliwe na uweze kutumia mtandao wowote ule kwa kutumia modem hiyohiyo hayo makampuni yanatuibia sana! Tena utatumia 2500 tu kwa mwezi mzima
Nipo mapinga,ni baada ya Bunju kuelekea B'moyo.Upo wapi Mkuu nikutafuteUpo maeneo gani? Kama upo dar ni pm ili ichakachuliwe na uweze kutumia mtandao wowote ule kwa kutumia modem hiyohiyo hayo makampuni yanatuibia sana! Tena utatumia 2500 tu kwa mwezi mzima