Modem ya Zantel EC168C inachakachulika?

tototundu modem yako inasehemu ya kuweka lain?na je hiyo zantel yako ina lain?ama una connect bila ya lain inside?na hiyo modem ni ya zte au huawei?
 
genekai umekuwa mlinzi wa kitu cha m2 binafc?in bongo ukinunua ki2 unaweza kukifanyia ki2 chochote coz ni mali yako..so akichakua or nt it is up to him.
 
genekai kwa unavyotaka.ishauri gvrmnt iweke sheria ukinunua these stufs huruhusiwi kumodify.
 
GENEKAI

Wewe umelizika na maisha so waache ambao hawajakaa vizuri wajaribu na wenyewe......
 
naishi bondeni kimara tu hapa, moderm yangu ya zantel haifanyi kazi hadi nirudi hapa ubungo au nikasimame kilimani....hapa hapa dar...nimetumia laki yangu kununua hainisaidii...hawa zantel kama hawawezi waondoke tu jamani...wanakera..waongo wanajifanya wanaweza kumbe si lolote si chochote...ukiwa nazo, hata kibamba hapo tu hazikamati...zinataka watu wa city centre....
 
tototundu modem yako inasehemu ya kuweka lain?na je hiyo zantel yako ina lain?ama una connect bila ya lain inside?na hiyo modem ni ya zte au huawei?
modem hii ni huawei, ina connect bila line, lakini pia ina sehemu ya kuwekea line
 
duh hapo nimeinua mikono.tusubiri wataalam zaid waje..hiyo kitu wanalock kwenye network cjui.maana i saw da zantel guy i mean da worker anachukua imei ya modem anaingiza kwenye pc zao
 
zinachakachulika guys kuna watu wana edit baadh ya setting kwnye network profile...ila hyo knowledge wanabania saaana yan hawatak kusema wala kushare..!! Ukitaka akuchakachulie unampa 60000 kama huna unachapika! Una2mia internet free mpk zantel watakapofilisika teh teh teh!
 
zinachakachulika guys kuna watu wana edit baadh ya setting kwnye network profile...ila hyo knowledge wanabania saaana yan hawatak kusema wala kushare..!! Ukitaka akuchakachulie unampa 60000 kama huna unachapika! Una2mia internet free mpk zantel watakapofilisika teh teh teh!

Wanapatikana wapi hao wachakachuzi?
 
hicho kitu chawezekana wacha watu waende chimbo kwanza, mkipata teknolojia hyo tujuzane wadau
 
Msaada tafadhali, nataka kuhamia Airtel wenye internet ya ukweli

Mkuu Toto Tundu:Zantel modem inatumia CDMA technology Airtel inatumia GSM technology hivyo basi uwezi tumia modem EC 168C katika Airtel Network
EC 168C inaweza tumika TTCL na SASATEL tu laikini mpaka CDMA engineer Aiprogram na kusend Some info katika switch ya Sasatel or TTCL including ESN ya Modem hiyo.
yaani uwezi kuiprogram mtaani bila kuhusisha mainjinia wa kampuni ya simu.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom