Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 455
NIMEONA watu wengi wanasumbuliwa na hii modem ya voda ya k3570z au k3571z . kuitumia modem hii ni kazi rahisi sana.
utahitaji mafaili mawili kutoka internet:
kwanza download: Hotfile.com: One click file hosting: Win-ZTEDrv_V1.0.1.16.zip
kisha downlaod : vf_k3570_new_dialler.rar - 4shared.com - online file sharing and storage - download
pili downlaod :
jambo la kwanza hakikisha hutumii ile software ilokuja nayo wala driver zake. na kama uliwahi kuinstall basi uninstall kila kitu kilichokuja ikiwemo ile software dashboard na drivers zote.
halafu fuata steps laini zifuatazo:
1. kwanza hakikisha modem yako ya voda haijachomekwa.
2. pili toa au uninstall kila software uliyoinstall kuhusiana na
modem ya voda ikiwemo dashboard zote, ile ya original na nyengine
yoyte.
3. restart computer yako. (muhimu sana)
4. bila ya kuchomeka modem ya voda, anza kwanza ku install win zte
driver. halafu baadae ndio u install vf k3570 (dashboard).
5. kisha hapo restart komputa. na ikiwaka na kutulia ndio chomeka
modem yako ya voda tayari kula raha.
utahitaji mafaili mawili kutoka internet:
kwanza download: Hotfile.com: One click file hosting: Win-ZTEDrv_V1.0.1.16.zip
kisha downlaod : vf_k3570_new_dialler.rar - 4shared.com - online file sharing and storage - download
pili downlaod :
jambo la kwanza hakikisha hutumii ile software ilokuja nayo wala driver zake. na kama uliwahi kuinstall basi uninstall kila kitu kilichokuja ikiwemo ile software dashboard na drivers zote.
halafu fuata steps laini zifuatazo:
1. kwanza hakikisha modem yako ya voda haijachomekwa.
2. pili toa au uninstall kila software uliyoinstall kuhusiana na
modem ya voda ikiwemo dashboard zote, ile ya original na nyengine
yoyte.
3. restart computer yako. (muhimu sana)
4. bila ya kuchomeka modem ya voda, anza kwanza ku install win zte
driver. halafu baadae ndio u install vf k3570 (dashboard).
5. kisha hapo restart komputa. na ikiwaka na kutulia ndio chomeka
modem yako ya voda tayari kula raha.