Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 455
wakuu naomba niombe ushauri kidogo, kwa tanzania hii ni modem gani (shirika lake na model yake) nitakayoweza kubadili laini zote za CDMA kwa mfano zantel , ttcl na sasatel.?
achia mbali zile embeded modem ambazo huwezi kuweka line.
hizi za HSDPA tayari ninayo ya tigo E153 ambayo inakubali laini za airtel, vodacom na tigo yenyewe.
pia naomba kujua kwa sasa bei za modem za CDMA zinazotumia line ni bei gani pamoja na company husika.?
achia mbali zile embeded modem ambazo huwezi kuweka line.
hizi za HSDPA tayari ninayo ya tigo E153 ambayo inakubali laini za airtel, vodacom na tigo yenyewe.
pia naomba kujua kwa sasa bei za modem za CDMA zinazotumia line ni bei gani pamoja na company husika.?