Mobile tracker - simu imeibiwa sa 5:07pm ikapatikana saa 8:49

dah...kare kaliest!! mimi kimeo changu ni n9300i ya 2006 itafaa kweli wakuu?
 
Helow JF

Nikama muvi lakini ni kweli...samsung mobile tracker inafanya kazi kweli kweli.

ok, jana mida ya saa 5:07pm shemeji yenu alichomolewa simu pale buguruni sokoni na pesa kadhaa..mimi bila kujua wala kukumbuka kuwa ile simu ya mamsup niliiset mobile tracker yake ifanye kazi basi nikashangaa nimepokea msg ikisema

SIM CARD NAMBA HIII XXX INATUMIA SIMU YA XXXXX NAMBA IMEI XXXXX PLEASE KEEP THIS MSG

(hizo xxx ni personal detail)

kumbuka kuwa yeye ali tupa line ya mule kwenye simu na kuweka yake!!

Basi mi nikatak kudelete ile sms, ghafla bibie anaingia anasema kaibiwa..aha nikakumbuka nikapiga ikaita ile namba..nikakata

nikachomoka faster mi na jamaa hadi buguruni, kuchukua RB jamaa wakaanza kuzingua...nikaona ngoja nifatilie mwenyewe..
nikapiga tena jamaa akasema nipo buguruni sokoni baadae kama akashtuka hivi akaanza kuzingua.

Nikaamua nimwambie ukweli nikamwambia kuwa simu ya uwizi na ni ya ofisi na tunajua jina lako kamili,unapoishi na unapofanya kazi na tunaamini kuwa wewe hujaiba ila umeuziwa au umepewa. na sisi hatutaki kupelekana polisi so tuonane unipe simu sababu hutafika nayo mbali....jamaaa akapagawa akakata simu.

Nikamtumia msg mja ya mkwala kwamba asipo nitafuta ndani ya masaa 4 tutaanza kufata sheria ikiwemo kukufata nyumbani sababu tunapajua.

Jamaa likapanic baada ya kuwasha simu na kukuta msg! akasema mbona unanichimba mkwara nikamwambia kijana wewe bado mdogo sana na nadhani hauhitaji shida na watu wa mtandao. tatizo sio simu tatizo hiyo simu ni ya kiofisi tungeweza nunua nyingine ila ni lazima tuwenayo hiyo. akasema basi nirudishie hela yangu.nikakata simu

Nikaongea na Jamaa yangu mmoja tu akasema twende tumfate. jamaa akasema kama polisi wamezingua twende mi nitajifanya afande. basi nikampigia mwizi wangu na kumwambia kuwa anataka sh ngapi akase nipe 60,000/= "ahaaaaa yani simu ninunue mimi halafu uniuzie nilitafakari moyoni" nikakubali sawa ila nipunguzie ili kumchota akili yake aone kuwa pesa inatolewa akasema mwisho elfu 55 na tukutane tazara!!

nikawasha gri hadi tazara nikampigia nikamwambia ni park wapi ili kumchota akili tu akasema mbele ya kituo nikasema poa nipo kwenye mataa. jamaa yangu akashuka kwenye taa na kutangulia mbele ya kituo huku mimi nikiwa kwenye foleni...

Taa zikaruhusu nika park na kumwambia nimefika kumbe yeye yupo na mwenzie katikati ya barabara wana niangalia..mi kushuka tu mkwara nikachana wallet na kuanza kuhesabu pesa wao wakaona wakaanza kuja mi nikawachngamkia nkuwapa pole.....wakasema dah powa sasa tufundishe na sie tujue unafanyeje...nikawa najichekesha nikawaomba wanionyeshe simu yangu wakatoa...walipo nipa niishike tu nikaanza kama kuwafundisha hivi...yule jamaa yangu tulipanga kuwa akiona nimeishika mimi simu ndio aje....

so jamaa akaaja na kusema mpo chini ya ulinzi!!!! mi nikaongezea ndio hao wezi wenyewe Afande....daha jama wakataka kuchomoka tuka wakamata kibindo...wakaanza kujitetea sio sie afande tusameee heheheeeeee nikajua kuwa ni kwishney....

KILICHOWAKUTA WAO SASA
by saa 2 na nusu hivi Tazara pakawa hapatoshi vibaka na wapiga debe wote ndukiiiiii..wakajua sisi askari kanzu.....tukawatia kwenye gari jamaaa wanalia na kuomba msamaaa mimi bado kidogo nianze kucheka nikajibana sana sana, tukaanza kuwasachi na kuwatisha kuwa mamehusika namauaji ahaaa jamaaa yangu anamikwara hadi nikaanza kuogopa.

wakasema kuwa wao ni wafanya biashara wa kuku na alikuja teja pale buguruni akawauzia simu sh elfu 30 so walivyoona wamejulikana waka taka kuuza kwa hiyo 60. tukawaambia maelezo yote mtatoapolisi pamoja na kesi mbalimbali za wizi..
jamaaa wakaanza kuomba watoe PESA....aha kila mmoja akatoa elfu 50. tuka washuka nje ya kituo cha buguruni wakatoka nduki halafu sisi tukaingia kituoni na kuzuga zuga na kuondoka zetu kunywa BEEEEEER!!!!

MWISHO
Kama una samsung usizalau application ya mobile tracker itakusaidia kurudisha simu yako.

Mkuu Sharobalo, niambie ni aina gani hiyo ya Samsung??
 
paulss alishawahi fanya hivi pia akapata simu yake
 
Mimi niliibiwa simu tangu mwaka jana na mpaka leo sijaipata,ila kila ikibadilishwa line msg inanijia,nikipiga hiyo namba jamaa ananitishia uchawi anadai yupo sumbawanga!!
 
​Labda nitaikumbuka nitakapoanza kutumia samsung. Eti mkuu, kwenye madude ya Steve Jobs hii ipo pia?
 
Labda nitaikumbuka nitakapoanza kutumia samsung. Eti mkuu, kwenye madude ya Steve Jobs hii ipo pia?

Mimi anijuze mwenye iphone,rafiki yangu anayo,nina Samsung 3212 na siioni hiyo application,na Nokia C6-00,nayo sijui niende wapi for hiyo service.
 
Heshima kwenu wakuu....!
kwa wale wenye simu aina ya IDEOS... vilevile zina application inaitwa phone control , ina run back ground . so mtu akiichukua kama ulifanya setting.... utakua unapata sms zote anazotumiwa na calls zote mbaya zaidi mpaka location kupitia E-MAIL address yako.

Hata kwa wale wenzangu na mimi wanaopenda kujua nini kinaendelea katika simu za wapenzi wao ni swala jepesi sana...

Mkuu natumia Ideos naomba unielekeze jinsi ya kuweka hiyo kitu
 
Mkuu tunashukuru kwa ushuhuda wa Mobile tracker ila kwa wajuzi hiyo siyo issue kabisa, siwezi kufafanua hapa ni jinsi ya kutegua hiyo mobile tracker kwa sababu yawezekana wezi tunao humuhumu, ila kwa mtoa ushuhuda nitaku PM ili ufahamu.
 
Kwa mwizi kaingia mwizi! Looh!

Helow JF

Nikama muvi lakini ni kweli...samsung mobile tracker inafanya kazi kweli kweli.

ok, jana mida ya saa 5:07pm shemeji yenu alichomolewa simu pale buguruni sokoni na pesa kadhaa..mimi bila kujua wala kukumbuka kuwa ile simu ya mamsup niliiset mobile tracker yake ifanye kazi basi nikashangaa nimepokea msg ikisema

SIM CARD NAMBA HIII XXX INATUMIA SIMU YA XXXXX NAMBA IMEI XXXXX PLEASE KEEP THIS MSG

(hizo xxx ni personal detail)

kumbuka kuwa yeye ali tupa line ya mule kwenye simu na kuweka yake!!

Basi mi nikatak kudelete ile sms, ghafla bibie anaingia anasema kaibiwa..aha nikakumbuka nikapiga ikaita ile namba..nikakata

nikachomoka faster mi na jamaa hadi buguruni, kuchukua RB jamaa wakaanza kuzingua...nikaona ngoja nifatilie mwenyewe..
nikapiga tena jamaa akasema nipo buguruni sokoni baadae kama akashtuka hivi akaanza kuzingua.

Nikaamua nimwambie ukweli nikamwambia kuwa simu ya uwizi na ni ya ofisi na tunajua jina lako kamili,unapoishi na unapofanya kazi na tunaamini kuwa wewe hujaiba ila umeuziwa au umepewa. na sisi hatutaki kupelekana polisi so tuonane unipe simu sababu hutafika nayo mbali....jamaaa akapagawa akakata simu.

Nikamtumia msg mja ya mkwala kwamba asipo nitafuta ndani ya masaa 4 tutaanza kufata sheria ikiwemo kukufata nyumbani sababu tunapajua.

Jamaa likapanic baada ya kuwasha simu na kukuta msg! akasema mbona unanichimba mkwara nikamwambia kijana wewe bado mdogo sana na nadhani hauhitaji shida na watu wa mtandao. tatizo sio simu tatizo hiyo simu ni ya kiofisi tungeweza nunua nyingine ila ni lazima tuwenayo hiyo. akasema basi nirudishie hela yangu.nikakata simu

Nikaongea na Jamaa yangu mmoja tu akasema twende tumfate. jamaa akasema kama polisi wamezingua twende mi nitajifanya afande. basi nikampigia mwizi wangu na kumwambia kuwa anataka sh ngapi akase nipe 60,000/= "ahaaaaa yani simu ninunue mimi halafu uniuzie nilitafakari moyoni" nikakubali sawa ila nipunguzie ili kumchota akili yake aone kuwa pesa inatolewa akasema mwisho elfu 55 na tukutane tazara!!

nikawasha gri hadi tazara nikampigia nikamwambia ni park wapi ili kumchota akili tu akasema mbele ya kituo nikasema poa nipo kwenye mataa. jamaa yangu akashuka kwenye taa na kutangulia mbele ya kituo huku mimi nikiwa kwenye foleni...

Taa zikaruhusu nika park na kumwambia nimefika kumbe yeye yupo na mwenzie katikati ya barabara wana niangalia..mi kushuka tu mkwara nikachana wallet na kuanza kuhesabu pesa wao wakaona wakaanza kuja mi nikawachngamkia nkuwapa pole.....wakasema dah powa sasa tufundishe na sie tujue unafanyeje...nikawa najichekesha nikawaomba wanionyeshe simu yangu wakatoa...walipo nipa niishike tu nikaanza kama kuwafundisha hivi...yule jamaa yangu tulipanga kuwa akiona nimeishika mimi simu ndio aje....

so jamaa akaaja na kusema mpo chini ya ulinzi!!!! mi nikaongezea ndio hao wezi wenyewe Afande....daha jama wakataka kuchomoka tuka wakamata kibindo...wakaanza kujitetea sio sie afande tusameee heheheeeeee nikajua kuwa ni kwishney....

KILICHOWAKUTA WAO SASA
by saa 2 na nusu hivi Tazara pakawa hapatoshi vibaka na wapiga debe wote ndukiiiiii..wakajua sisi askari kanzu.....tukawatia kwenye gari jamaaa wanalia na kuomba msamaaa mimi bado kidogo nianze kucheka nikajibana sana sana, tukaanza kuwasachi na kuwatisha kuwa mamehusika namauaji ahaaa jamaaa yangu anamikwara hadi nikaanza kuogopa.

wakasema kuwa wao ni wafanya biashara wa kuku na alikuja teja pale buguruni akawauzia simu sh elfu 30 so walivyoona wamejulikana waka taka kuuza kwa hiyo 60. tukawaambia maelezo yote mtatoapolisi pamoja na kesi mbalimbali za wizi..
jamaaa wakaanza kuomba watoe PESA....aha kila mmoja akatoa elfu 50. tuka washuka nje ya kituo cha buguruni wakatoka nduki halafu sisi tukaingia kituoni na kuzuga zuga na kuondoka zetu kunywa BEEEEEER!!!!

MWISHO
Kama una samsung usizalau application ya mobile tracker itakusaidia kurudisha simu yako.
 
Mimi niliibiwa simu tangu mwaka jana na mpaka leo sijaipata,ila kila ikibadilishwa line msg inanijia,nikipiga hiyo namba jamaa ananitishia uchawi anadai yupo sumbawanga!!

Ahahahahhahahahaahahhaaaa! Daaah! Atakupiga radi huyo achana nae kabisaa!
 
Helow JF

Nikama muvi lakini ni kweli...samsung mobile tracker inafanya kazi kweli kweli.

ok, jana mida ya saa 5:07pm shemeji yenu alichomolewa simu pale buguruni sokoni na pesa kadhaa..mimi bila kujua wala kukumbuka kuwa ile simu ya mamsup niliiset mobile tracker yake ifanye kazi basi nikashangaa nimepokea msg ikisema

SIM CARD NAMBA HIII XXX INATUMIA SIMU YA XXXXX NAMBA IMEI XXXXX PLEASE KEEP THIS MSG

(hizo xxx ni personal detail)

kumbuka kuwa yeye ali tupa line ya mule kwenye simu na kuweka yake!!

Basi mi nikatak kudelete ile sms, ghafla bibie anaingia anasema kaibiwa..aha nikakumbuka nikapiga ikaita ile namba..nikakata

nikachomoka faster mi na jamaa hadi buguruni, kuchukua RB jamaa wakaanza kuzingua...nikaona ngoja nifatilie mwenyewe..
nikapiga tena jamaa akasema nipo buguruni sokoni baadae kama akashtuka hivi akaanza kuzingua.

Nikaamua nimwambie ukweli nikamwambia kuwa simu ya uwizi na ni ya ofisi na tunajua jina lako kamili,unapoishi na unapofanya kazi na tunaamini kuwa wewe hujaiba ila umeuziwa au umepewa. na sisi hatutaki kupelekana polisi so tuonane unipe simu sababu hutafika nayo mbali....jamaaa akapagawa akakata simu.

Nikamtumia msg mja ya mkwala kwamba asipo nitafuta ndani ya masaa 4 tutaanza kufata sheria ikiwemo kukufata nyumbani sababu tunapajua.

Jamaa likapanic baada ya kuwasha simu na kukuta msg! akasema mbona unanichimba mkwara nikamwambia kijana wewe bado mdogo sana na nadhani hauhitaji shida na watu wa mtandao. tatizo sio simu tatizo hiyo simu ni ya kiofisi tungeweza nunua nyingine ila ni lazima tuwenayo hiyo. akasema basi nirudishie hela yangu.nikakata simu

Nikaongea na Jamaa yangu mmoja tu akasema twende tumfate. jamaa akasema kama polisi wamezingua twende mi nitajifanya afande. basi nikampigia mwizi wangu na kumwambia kuwa anataka sh ngapi akase nipe 60,000/= "ahaaaaa yani simu ninunue mimi halafu uniuzie nilitafakari moyoni" nikakubali sawa ila nipunguzie ili kumchota akili yake aone kuwa pesa inatolewa akasema mwisho elfu 55 na tukutane tazara!!

nikawasha gri hadi tazara nikampigia nikamwambia ni park wapi ili kumchota akili tu akasema mbele ya kituo nikasema poa nipo kwenye mataa. jamaa yangu akashuka kwenye taa na kutangulia mbele ya kituo huku mimi nikiwa kwenye foleni...

Taa zikaruhusu nika park na kumwambia nimefika kumbe yeye yupo na mwenzie katikati ya barabara wana niangalia..mi kushuka tu mkwara nikachana wallet na kuanza kuhesabu pesa wao wakaona wakaanza kuja mi nikawachngamkia nkuwapa pole.....wakasema dah powa sasa tufundishe na sie tujue unafanyeje...nikawa najichekesha nikawaomba wanionyeshe simu yangu wakatoa...walipo nipa niishike tu nikaanza kama kuwafundisha hivi...yule jamaa yangu tulipanga kuwa akiona nimeishika mimi simu ndio aje....

so jamaa akaaja na kusema mpo chini ya ulinzi!!!! mi nikaongezea ndio hao wezi wenyewe Afande....daha jama wakataka kuchomoka tuka wakamata kibindo...wakaanza kujitetea sio sie afande tusameee heheheeeeee nikajua kuwa ni kwishney....

KILICHOWAKUTA WAO SASA
by saa 2 na nusu hivi Tazara pakawa hapatoshi vibaka na wapiga debe wote ndukiiiiii..wakajua sisi askari kanzu.....tukawatia kwenye gari jamaaa wanalia na kuomba msamaaa mimi bado kidogo nianze kucheka nikajibana sana sana, tukaanza kuwasachi na kuwatisha kuwa mamehusika namauaji ahaaa jamaaa yangu anamikwara hadi nikaanza kuogopa.

wakasema kuwa wao ni wafanya biashara wa kuku na alikuja teja pale buguruni akawauzia simu sh elfu 30 so walivyoona wamejulikana waka taka kuuza kwa hiyo 60. tukawaambia maelezo yote mtatoapolisi pamoja na kesi mbalimbali za wizi..
jamaaa wakaanza kuomba watoe PESA....aha kila mmoja akatoa elfu 50. tuka washuka nje ya kituo cha buguruni wakatoka nduki halafu sisi tukaingia kituoni na kuzuga zuga na kuondoka zetu kunywa BEEEEEER!!!!

MWISHO
Kama una samsung usizalau application ya mobile tracker itakusaidia kurudisha simu yako.

Hahahahaha, mbavu zangu mie...nimeupenda sanaa huo mkwara dah nyie nouma...
 
kama unatumia sim za adroid ina application mpaka inaonesha sim yako kwenye ramani na satalaiti view inaitwa "where's my droid" utaipata kwenye market.

kwa nokia ingia ovi store natafuta F-secure ni nzuri mno.
 
You made my dawn! lol! yaani nilipoona kwamba mumewageukia na kuwakwapua hizo 50 thous nikashindwa kujizuia! hehehehe whats goes around will always come back around, ref Biyonce
 
Back
Top Bottom