sorry mkuu ni android 2.3.6
hapo sawa kabisa. android 2.3.6 ndo ilikuwa update ya mwisho ya *gingerbread* na baada ya hapo walileta *ice cream sandwich* ambayo ndo inaanza 2.4.0
base build ya ice cream sandwich inafanya uwezekano wa any 2.3 base system upgradable to it but the cost of updating a software on an older phone is usually done at a loss to a company as old smartphones sales decrease inadvertently
au kwa kifupi, kama huna latest android phone (kama galaxy SII) hata kama kuna uwezekano wa kuwepo na upgrade ya hiyo phone kwenda 2.4, kampuni iliyotengeneza hiyo simu itakuwa haijatengeneza 2.4 version ya hiyo simu yako, na ni mpaka usubiri *pirate developers* kama cyanogen watengeneze ya *kinyumbani*
kwa kukusaidia zaidi, post model ya simu yako nitakwambia kama kuna official firmware
hapo sawa kabisa. android 2.3.6 ndo ilikuwa update ya mwisho ya *gingerbread* na baada ya hapo walileta *ice cream sandwich* ambayo ndo inaanza 2.4.0
base build ya ice cream sandwich inafanya uwezekano wa any 2.3 base system upgradable to it but the cost of updating a software on an older phone is usually done at a loss to a company as old smartphones sales decrease inadvertently
au kwa kifupi, kama huna latest android phone (kama galaxy SII) hata kama kuna uwezekano wa kuwepo na upgrade ya hiyo phone kwenda 2.4, kampuni iliyotengeneza hiyo simu itakuwa haijatengeneza 2.4 version ya hiyo simu yako, na ni mpaka usubiri *pirate developers* kama cyanogen watengeneze ya *kinyumbani*
kwa kukusaidia zaidi, post model ya simu yako nitakwambia kama kuna official firmware
android bwana mara sandwich mara ginger sasahivi utasikia android ital pizza
Wanataka wa release matoke and makande
Hahaa..
Hebu check majna yao! Walianza na Froyo wakaja na Gingerbread wakaja na Honeycomb ikafuata Ice
Cream Sandwich sasa wametuletea Jelly Bean bado watakuja na pizza au sausage... Wakipata madeveloper from tz ndo tutapata hzo matoke and makande..,
nisamehe sana sana tu mkuu I forgot kukujibu. kesho nitakuwa na free time ya kutosha, nitakuba majibu ya kuridhisha, kwa sasa nataka nikamalize ligi yagu pale PES 2012, nataka nimalizane nayo si mnajua 2013 kesho kutwa tu :biggrin:Sijapata majibu wakuu
android 2.3.6
kwa sasa the only upgradable android phone kwenda kwenye Ice cream Sandwich (ICS) ni SGS II i9100, even Samsung galaxy SII i9100G is non-upgradable....nyingi upgrade zinategemewa kufika October 2012, especially Africa,kwani The Jelly Bean pia zinatoka kwa awamu katika mabara mbalimbali duniani, ingawa sehemu nyingine zishatoka.
Update za manually zinafanyika at user's risk, kuna watu wawili ambao their phones went black hadi sasa during the manual update walikuwa wakitumia SGS II i9100G...so, ni vyema kuisubiri ICS for Africa in October, au pitia katika forums za Androidadvice mkuu.