Garmii
Senior Member
- Feb 26, 2011
- 164
- 19
Wana JF nimekuja na mada nyingine kuhusu hizi cm zetu za mikononi, binafs nataman niachane na cm kwn ndio chanzo cha mgongano na my wife! Mke wangu kila nikirud kutoka kazn lazm akague cm zangu je hii ni sawa?kina dada hata ninyi ndivyo mnavyofanya kw waume zen au maboyfriend wenu?msaada pls tuwekane wazi kwa hili.