Mo Dewji na plagiarism kutoka NY Times

kwikwikwikwikwiiiiii...wewe mchokozi sana. ina maana unataka kusema GT naye ka plagiarize hiyo picha? lmaooooooooo

co-sign.jpg

In simple words hajaplagiarise, Ndiyo tulivyo!
 
Nilipokuwa Europe nilijifunza kwa lugha ya wenyeji wangu. Na kuna vitabu niliamini kuwa ma-profesa wangu wametunga lakini baada ya kuja viwanja nikakuta jamaa wali-copy tu.

Ukweli wa mambo wachangiaji humu na wakazi wa nchi kama zetu hakuna watakachoandika kipya.

Ningependa waTanzania mjifunze kucopy na ku-paste vitu vya maana. Kila siku mnawasifia waChina. Lakini wanachofanya ni copy and paste na hawaombi msamaha kuladeki.

Kama kuna mtanzania anayeweza kufanya plagiarism na kutuletea blue-print ya Mtambo wa Nyuklia ningempa tano. Maana tuna shida ya umeme.

Asante Zakumi, wakati mkadala huu unaanza hapo mwanzoni, nilikuw nakosa uondo huu, mpaka Bluray aliweka jiwe jipya la mjadala.

Kila mtu mwanzoni alikuwa anachangia kama vile ni 'clean' Yes I believe they are, lakini majority nchini mwetu tunaishi kana kwamba ni hali ya kawaida kabisa.Tukashindwa kujadili kuwa ni tatizo la jamii yetu, misingi tuliyokulia utamaduni n.k

Tunakula miziki ya Kikongo kila kona, achilia mbali ya South Africa, Rap usiseme, comedy.Waandishi wa habari ndio akina Shigongo, na mahadithi yake ya kukopi.Usiseme vyuoni.professors kuandika papers kupitia kazi za wanafunzi wao (this is critical in UDSM)

Bluray kasema ujamaa could be the problem,there are many others, what about the fact that we are third world-underdeveloped country where everything we are importing starting from technology until underwear? all these promotes this dirty behaviour.Nilipita mtaa mmoja Manzese from duka la kwanza mpaka lwa mwisho wote wanauza vitu vya aina moja na size ya maduka iko sawa, hata matangazo nje yaleyale! people are not cracking head at all!

Tulikuwa tunajadili as if Katanzania ni ka nchi kako ndani ya Europe! Huko maofisini/vyuoni/mashuleni things are OK! tusipojadili kiini cha tatizo hatutapata solution.

Thanks God mbunge wetu anajua this is crime, angekuwa Makamba pengine angejibu ''sasa kwa nini wameweka kwenye internet''
 
Thanks God mbunge wetu anajua this is crime, angekuwa Makamba pengine angejibu ''sasa kwa nini wameweka kwenye internet''

Hahahahahaha,

Hapa umeikamata the essence of Makambaism, tena angeweka mpaka na aya za biblia na Quran asivyo na haya mzee yule.
 
Wanajamii Forums......mimi ni binadamu hivyo kama wengine nilisahau kuwrite citations pale chini lakini ofcourse the article from NY Times made me write the article in Swahili my intentions were not bad......nilikuwa najaribu ku highlight tatizo la umeme sasa kama nimewakosea wengine kwa kuchukua info ya article hiyo basi my sincere apologies to them na kosa halitarudiwa sawa wadau........I would try to cite in future articles....lakini kikubwa ni mada na Tatizo nililokuwa nazungumzia

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika

Ninarudia kwa wale waliokuwa offended na my articles please i offer my sincere apologies kwa sababu sikucite hiyo references....but my intentions were to highlight the problem throughout Africa and propose the solution....

Mo

Big Up!, hats off man...you didn't hide and cry,

You stood up, like a REAL MAN!,
 
Dah, Dewji ameingia choo cha wanawake na amjisaidia kwa style ya kike!

We mshamba!, what does wanawake got to do with this?

Kumbuka umezaliwa na mwanamke!

SHAME ON YOU!, MSHAMBA MKUBWA WE, MTAENDELEA LINI? KHA!
 
We mshamba!, what does wanawake got to do with this?

Kumbuka umezaliwa na mwanamke!

SHAME ON YOU!, MSHAMBA MKUBWA WE, MTAENDELEA LINI? KHA!

Dadangu wala usikasirike, kama Mo angekuwa mwanamke, basi msemo ungebadilika na kuwa Mo ameingia choo cha kiume!!!

Nothing personal... according to the "Boss"
 
Dadangu wala usikasirike, kama Mo angekuwa mwanamke, basi msemo ungebadilika na kuwa Mo ameingia choo cha kiume!!! ,

Nothing personal... according to the "Boss"

Oh! puh! leez!, I don't think so, msemo kubadilika? no way!, yamtokayo mtu ndo yaujazayo moyo wake. I forgot that, there're still, people like this in our society. Sad, If up to this time, out time, some people can compare anything weak to women.

Un f...king believable!
 
Jamaa ameomba msamaha, upokelewe
nilkienda deeper zaidi ya hii incident, nikiangalia trends na concepts, mo ni part ya uongozi wa kidanganyifu na hii plagiarism ni tip of the iceberg tu, ni part ya uongozi mzima uliozoea fraud, unaoweka umuhimu katika the appearance kuwa tunafanya kitu kuliko kufanya kitu. ndio uongozi huu huu ulioiba kura certainly zanzibar na kumrudisha komandoo kwenye power illegally - wakuu wa usalama wenyewe wameniambia hili, halina mjadala kwa wanaojua, baba nyerere, the mantle of decency bongo, alii rape democracy tanzania- sasa unategemea nini kutoka kwa mo.
bluray
hayo maneno kwenye bold ni mazito sana na ndiyo yanayofanya watu wawe hivyo.
Yani tatizo hapa sio plagiarism kabisa tatizo ni udanganyifu

mo angeweza kuyaongelea matatizo ya umeme tz kwa maneno yake mwenyewe vizuri sana, angejaza page 2 easily, lakini yeye alitaka killer article ambayo ingemuonyesha yeye ni nani.
ni sawa sawa na wale viongozi wenye degree wananunua phd fake.
 
give the guy a break...

he stood up and accepted his mistake and has apologised to the forum...

Kuna more important things to be addressed...

Mo we all learn through mistakes....
 
plagiarism ni sawa na kula mgongoni kwa mtu. huna la kufikiri lakini unataka umaarufu na raha duniani.
 
Na nyie mnaofanya dissertation za MBA muache ku plagiarise, ipo siku mtaumbuka..maana me note hizo dissertation zenu ni zile zile tu.
 
Ndugu yangu inawezekana hiyo kazi alimpa mtu amwandalie na kuja kuiweka kwenye mtandao kwa ajili ya kutangaza blogu yake kama sijakosea

:rolleyes:kwenye masuala ya kutafuta kujitangaza inawezekana kabisa hasa sasa ambapo vijana wa chuo wanaajiriwa kuwatengenezea wakubwa vibomu basi ndo hivyo mkuu kaundiwa jibomu
 
Oh noo he didn't! This a bit infra dig for him to be getting low like that...

Ooh yes he did!!
I dunnoh, dont you think that is being down with the people?

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=PmHClIHgnRI"]Get Down Low[/ame]​
 
Ooh yes he did!!
I dunnoh, dont you think that is being down with the people?

Sometimes being "down with the people" too much is abdicating leadership.

Especially if the people look up to you for leadership. It is like the people are looing up to you and you are looking for inspiration from the people, nothing advances.

Ngoma tupu, PR tupu, photo op tupu, showism tupu, nothing substantive!

Ndiyo maana nilisema ile article ni tip of the iceberg tu.
 
Back
Top Bottom