oxlade
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 601
- 94
kwako muheshimiwa john mnyika, nakupongeza kwa kazi nzuri unayoifanya, lakini nakuomba upunguze kuomba miongozo bungeni na ujikite zaidi kayika kututetea watu wa ubungo tuliokuweka hapo, huku maji tabu na barabara haswa za kibangu hazipitiki, tunakuamini tafadhali usifanye kama keenja kwani 2015 sio mbali. kamilisha ahadi zako tafadhali