Mlangaja
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 579
- 218
Shukran Regia! Nilipata nafasi jana ya kuongea na kijana mmoja wa Kiingereza na yeye alinieleza wazi wazi mapato ya mbunge wake bila kuguna. Sasa kilichopo hapa kwetu ni nini? Kuna haja ya kuiwajibisha serikali yetu. Hawana madaraka ya kukataa kutoa mishahara ya wabunge wetu. Hii ndiyo sababu wanakuwa na uwezo wa kuongea kama wanavyotaka. Kama jana haka kamama kalivyoongea, kalinikera sana mimi.