Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Waheshimiwa Mnyika, Zitto na Regia,
Salaam,
Naamini kabisa mtasoma na kuitikia ombi langu. Baada ya kusikia taarifa ya Mh. Makinda kuhusu posho za wabunge na upokeaji wa posho mara mbili ni vyema mkatueleza bila kificho ni kiasi gani Mbunge anapokea kila mwezi na kwa kila kikao. Vikao ikiwa ni pamoja na vikao vya kamati, safari na kadhalika. Pia mikopo, gharama za matibabu nk.
Tunataka mjadala wa posho za wabunge. Mjadala wa Katiba sawa, matamko kuhusu utendaji na uzembe wa serikali sawa ila kwa sasa tungependa kuanza na mjadala huu wa posho kwa wabunge.
Tunachohitaji ni uwazi kuhusu maslahi (kama yapo) anayopata Mbunge ili tufanye maamuzi sahihi.
Msituangushe.
Tuwekeeni hapa tujadili
Salaam,
Naamini kabisa mtasoma na kuitikia ombi langu. Baada ya kusikia taarifa ya Mh. Makinda kuhusu posho za wabunge na upokeaji wa posho mara mbili ni vyema mkatueleza bila kificho ni kiasi gani Mbunge anapokea kila mwezi na kwa kila kikao. Vikao ikiwa ni pamoja na vikao vya kamati, safari na kadhalika. Pia mikopo, gharama za matibabu nk.
Tunataka mjadala wa posho za wabunge. Mjadala wa Katiba sawa, matamko kuhusu utendaji na uzembe wa serikali sawa ila kwa sasa tungependa kuanza na mjadala huu wa posho kwa wabunge.
Tunachohitaji ni uwazi kuhusu maslahi (kama yapo) anayopata Mbunge ili tufanye maamuzi sahihi.
Msituangushe.
Tuwekeeni hapa tujadili