watu wote leo ikulu,ikulu....ahh inakera sana wakati kuna mambo ya msingi yanaendelea mahakamani.tupeni ripoti jamani kamanda wetu ,jembe MNYIKA noma yake inaendaje huko kwani nasikitika sana nipo sehemu ambapo redio zinazosikika ni za kenya,burundi ,rwanda na kongo.naombeni jamani na kuna watanzania wengi tu wanasubiri hiyo habari