Kwa hio wananchi wa mkoa wa Kilimanjaro wote ni MAFISADI?- kwa kuchangia elimu -na kila kijiji kuwa na secondari yake?
mheshimiwa pauluse au nimekosea sawa tu hakuna hoja iliyosimama hapo kwani mnyika kaonyesha yeye sio mchumia tumbo kaamua kugawana na watu wa jimbo lake, Sikukufikilika Naona una private isue kwani pro maghembe na upro wake kawafanyia nini watu wa mwanga huoni ole lekule na elimu yake ya kuendeleza kawasaidia masai wake hivyo unaweza kuwa dr, digrii, upro na ukuawa hovyo ukadanganya na wasanii kama mlivyo fanya kwenye richmond, na digrii yako ya uchumi una laghaiwa na watu wa sanaa pole weeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tatizo lako nini hasa? Na mimi nikiamua kujitolea sehemu ya ka hela kangu utanihesabu vipi?Mkuu kunawakati Dewj alisema hata hajui mshahara wake sh ngapi sababu hagusu hata senti zote zinarudi kwa wananchi wa jimbo lake the same to others
yeah, namfaham vizuri mnyika, aliperform vizuri sanaa form iv, alipata alama "a" kwenye masomo mengi sana, kama sijakosea kati ya masomo kumi ambayo alifanya mitihani yake mwaka ule wa 2008 alipata 'a' masomo tisa (9). Jamaa ana akili za kuzaliwa na akifundishwa anaelewa, nilikuwa nyuma yake mwaka mmoja na tuliwai kuishi mabweni yanayokaribiana kwa mda fulani kabla ya mimi kuhama/kuhamishwa. Sijui matokeo yake ya form vi pale tambaza yalikuwaje, ila amewai kuongoza hata nilipokuwa nae shuleni na aliongoza vizuri na kwenye debate za kiingereza ndo usisema jamaa alikuwa anatutoa nockout sio kwa kuwa alikifahamu vizuri kiingereza, bali alikuwa na point nzuri pia. Anayetaka kudhibitisha acheki matokeo ya form iv ya mwaka 2008 (ule mtihani uliorudiwaga) ya maua seminary ajioneee mwenyewe. Mnyika angeweza na anaweza kusoma na kuhitimu degree yoyote sio kwa kupata 'gentleman degree' bali second upper or first class. Hongera mate mnyika kwa kupata ubunge na nakutakia kila la heri kwenye majukumu yako ya kuendeleza nchi.
Tatizo lako nini hasa? Na mimi nikiamua kujitolea sehemu ya ka hela kangu utanihesabu vipi?
Kwa hiyo tatizo lako la "kimaadili" kwa JJ ni lipi?Mkuu wewe huna influensi yoyote toa hata wote sawa tu.
Uliwahi kujiuliza ni kwanini takrima na mambo yake mengine ilibidi yatengenezewe sheria kuyadhibiti. it is simple yanaathiri maamuzi.
Hili limekaa kimaadili zaidi na kwa sababu sio kosa huwezi ona ubaya wake
Unashindwa kutofautisha kwa sababu umechoka kufikiri... Tofauti ya anachofanya Mnyika na Rostam katika kuchangia wananchi ni vyanzo vya pesa. Kwa nia njema, chanzo cha pesa ya Mnyika kiko wazi kabisa...ni sehemu ya mshahara wake. Kila mtu , hata wewe unajua, Mnyika anatoa sehemu ya pato lake halali. Rostam anachangia kutoka kwa pato la kifisadi, pato la wizi.
Una ushahidi wa hao unaosema wanatumia pesa za wizi tuwapeleke mahakamani?
nakuambia angalia vizuri mwaka huu lazima uliwe mgongo
Vipi, inauma? Jibu hoja matusi hayakusaidii kitu kijana. Bali yanaonesha u mtu wa aina gani.
Kwa hiyo tatizo lako la "kimaadili" kwa JJ ni lipi?
nakuambia angalia vizuri mwaka huu lazima uliwe mgongo
Nielimishe, maana mi sioni tatizo. Na specifically JJ na sio wengineo.Kama ni mwerevu mkuu utajua ni kwanini nasema linaathiri maamuzi.
Leo hii tunao watuhumu mafisadi wakubwa ndio wanaongoza kupendwa majimboni kwa staili hii
Sababu inaahiri upeo na maamuzi
Nielimishe, maana mi sioni tatizo. Na specifically JJ na sio wengineo.
Tuache generalization, tuje kwa Mnyika, tatizo nini?
@ JJ,
Pamba yupo pia JF?
Mnyika ubunge sio kujitolea pesa, haiwezekani kuleta maendeleo kwa kutoa pesa. Kinachohitajika ni mbunge mwenye uwezo wa kuikaba serikali itumie kodi ya wananchi kuboresha elimu, maji,nk...tukijenga dhana kwamba uongozi unapimwa kwa mtu kuchangia fedha kusaidia watu tujue tunajenga mazingira mazuri kwa mafisadi kubaki madarakani. Kwani ni utaratibu huu ambao umefanikisha mafisadi wengi kuziteka hata nyumba za ibada kwakuwa wanachangia sana michango ktk nyumba za ibada. Mimi nilidhani pesa hizo mnyika ungezipeleka chuo kikuu ukalipie ada umalizie degree ili jimbo letu la ubungo liondokane na aibu ya kuwa jimbo linalo ongozwa na kihiyo...jamani ni aibu jimbo la mjini kuongozwa na form six tu..