halafu baadaye unawamwaga hukumbuki hata kuwawekea vilaka vya nguo ulizowapa mpaka baada ya miaka 5 mingine NYAMBAFUUUUlakini ubunge ni kuhonga wananchi kanga, kanga,t-shirt na kofia,skafu na chumvi kabla ya kupiga kura! Maendeleo mgando!!
One of stupidiest post I have ever seen! Yaani sijui utamwambia nini Muumba wako kwa kushindwa kuutumia ubongo wako japo kwa mambo madogo kama haya.Duuh, sheria mpya ya rushwa za wabunge haikuliona hili, kuwa mbunge anaweza kufanya mbinu kama Mnyika. Kakopa wakati wa uchaguzi sasa anazilipa ki-stle ya pekee.
Takukuru hebu liangalieni hili, hali fall katika rushwa hili?
One of stupidiest post I have ever seen! Yaani sijui utamwambia nini Muumba wako kwa kushindwa kuutumia ubongo wako japo kwa mambo madogo kama haya.
mnyika ubunge sio kujitolea pesa, haiwezekani kuleta maendeleo kwa kutoa pesa. Kinachohitajika ni mbunge mwenye uwezo wa kuikaba serikali itumie kodi ya wananchi kuboresha elimu, maji,nk...tukijenga dhana kwamba uongozi unapimwa kwa mtu kuchangia fedha kusaidia watu tujue tunajenga mazingira mazuri kwa mafisadi kubaki madarakani. Kwani ni utaratibu huu ambao umefanikisha mafisadi wengi kuziteka hata nyumba za ibada kwakuwa wanachangia sana michango ktk nyumba za ibada. Mimi nilidhani pesa hizo mnyika ungezipeleka chuo kikuu ukalipie ada umalizie degree ili jimbo letu la ubungo liondokane na aibu ya kuwa jimbo linalo ongozwa na kihiyo...jamani ni aibu jimbo la mjini kuongozwa na form six tu..
Mnyika ubunge sio kujitolea pesa, haiwezekani kuleta maendeleo kwa kutoa pesa. Kinachohitajika ni mbunge mwenye uwezo wa kuikaba serikali itumie kodi ya wananchi kuboresha elimu, maji,nk...tukijenga dhana kwamba uongozi unapimwa kwa mtu kuchangia fedha kusaidia watu tujue tunajenga mazingira mazuri kwa mafisadi kubaki madarakani. Kwani ni utaratibu huu ambao umefanikisha mafisadi wengi kuziteka hata nyumba za ibada kwakuwa wanachangia sana michango ktk nyumba za ibada. Mimi nilidhani pesa hizo mnyika ungezipeleka chuo kikuu ukalipie ada umalizie degree ili jimbo letu la ubungo liondokane na aibu ya kuwa jimbo linalo ongozwa na kihiyo...jamani ni aibu jimbo la mjini kuongozwa na form six tu..
Duuh, sheria mpya ya rushwa za wabunge haikuliona hili, kuwa mbunge anaweza kufanya mbinu kama Mnyika. Kakopa wakati wa uchaguzi sasa anazilipa ki-stle ya pekee.
Takukuru hebu liangalieni hili, hali fall katika rushwa hili?
Umesoma post alizojibu JJ lakini?kweli jj huwezi kutatua kila kitu kwa fedha ni lazima uisimamie serikali itumie kodi zetu kwa mafanikio na maendeleo ya tz nzima
Duuh, sheria mpya ya rushwa za wabunge haikuliona hili, kuwa mbunge anaweza kufanya mbinu kama Mnyika. Kakopa wakati wa uchaguzi sasa anazilipa ki-stle ya pekee.
Takukuru hebu liangalieni hili, hali fall katika rushwa hili?
Muheshimiwa JJ with all due respect.
Napata tabu kutofautisha ulichofanya na anachofanya Rostam Igunga, Dewj Singida, Lowasa Monduli nk, nk.
Muheshimiwa JJ with all due respect.
Mkuu nakuheshimu sana na nisingependa ionekane kama napingana na wewe, lakini kimtazamo mimi sidhani kama ni sahihi kufanya ulichofanya ingawa si kosa pia.
Napata tabu kutofautisha ulichofanya na anachofanya Rostam Igunga, Dewj Singida, Lowasa Monduli nk, nk.
Mimi sidhani kama wananchi wa ubungo wanahitaji pesa yako kuboresha huduma kwa maana ya kupata mshahara mkubwa na kurudisha kodi kwa wananchi.
Ukirejea sera yenu ya elimu, afya bure nadhani si mfano bora sana kuwataka wananchi wako kuchangia gharama zinazopaswa kulipwa na serikali unayo isimamia wewe, wajibu wako wewe ni kuhakikisha wananchi wako wanapata hizo huduma kwa wewe kuibana serikali ipeleke hizo hela na si wewe kutoa pesa zako na kuhamasisha nao watoe kugharamia maendeleo yao.
Kama nilivyosema sio kosa na kijujuu utaona ni sawa lakini kimantiki haileti maana.
wewe kama kiongozi wao unapaswa kuwa mfano wa kuibana serikali na si kuwahamasisha wananchi wazidi kuchangia.
Leo hii Dewj na wenzie nilio wataja wanaonekana lulu majimboni mwao(angalia ushindi wao) sababu tu wanatumia pesa toka mifuko yao na hakuna chochote cha maana walichofanya.
Isome tena kwa umakini hoja yake tafakari, achana na mambo ya elimu aliyoyasema.
Mkuu kuna mambo mengi unaweza fanya kama mbunge, binafsi nakuaminia sana lakini pia soma alama za nyakati.
Best wishes ktk kutumika kwa wanajimbo lako
Unashindwa kutofautisha kwa sababu umechoka kufikiri... Tofauti ya anachofanya Mnyika na Rostam katika kuchangia wananchi ni vyanzo vya pesa. Kwa nia njema, chanzo cha pesa ya Mnyika kiko wazi kabisa...ni sehemu ya mshahara wake. Kila mtu , hata wewe unajua, Mnyika anatoa sehemu ya pato lake halali. Rostam anachangia kutoka kwa pato la kifisadi, pato la wizi.