apolycaripto
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 644
- 225
Ni kweli,na sisi wakazi wa Salasala,Mbezi Manyema ktk biabara ipitayo Neema Trust Sec School,tunaomba umkumbushe Mh Halima Mdee,tuna tatizo kama hilo na kwa kuongezea tu ni kwamba kifusi
tulichangishana wenyewe wananchi,tatizo ni greda tu.We TRUST on you guys.
Teeeeeh.....teeeeeh who ''guys'' Halima Mdee ama wanaJf?