AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Siku chache zilizopita kumekuwa na tetesi ktk mitandao mabalimbali hapa nchini na mtaani ya kwamba kulikuwa na kikao cha siri kilichofanyika kati ya Mwenyekiti wa CDM taifa(Freeman Mbowe) pamoja na mwenyekiti wa CCM taifa( Rais JK).
Sasa naomba JJ Mnyika utoe maelezo ya kina kwa sisi wanachama wenu tujue the major theme ya kikao hicho na kwann kimekuwa cha siri? Pia ama uje ukanushe tetesi hizo.
Maelezo juu ya hili swala yatasaidia kuondoa hofu ambayo ipo mioyoni mwa wanamabadiliko wote hapa nchini ambao wamekuwa wakitatizwa tetesi za kikao hicho cha siri.
Wako ktk mabadilko
Shardcole@Tabora1
Sasa naomba JJ Mnyika utoe maelezo ya kina kwa sisi wanachama wenu tujue the major theme ya kikao hicho na kwann kimekuwa cha siri? Pia ama uje ukanushe tetesi hizo.
Maelezo juu ya hili swala yatasaidia kuondoa hofu ambayo ipo mioyoni mwa wanamabadiliko wote hapa nchini ambao wamekuwa wakitatizwa tetesi za kikao hicho cha siri.
Wako ktk mabadilko
Shardcole@Tabora1