SalamuWanajamvi! Prof Shivij, Mh John Mnyika na Aizeck Cheo wako Itv live kwenye Kipima joto wakijadili mswada wa kitiba mpya, sahizi prof shivij anatoa ufafanuzi juu ya mchakato wa katiba mpya na kuwa bunge la katiba ni tofauti na bunge la kawaida, zaidi anasema Bunge la katiba liko juu ya bunge la kawaida