Msikie Mh. Mnyika: Video 1 na 2 mengineyo unaweza kuacha:
Bungeni na mbunge wa ubungo - YouTube
Wabunge ndani ya bunge - YouTube
Kwa kweli Mnyika ni sawa na wabunge 100 wa Magamba!
Msikie Mh. Mnyika akipanga hoja kuzungumzia ufisadi wa Songas na kumtaka Ngeleja ajiuzulu: inaanzia youtube 1 na kumalizia youtube 2 mengineyo unaweza kuacha:
Kwa kweli Mnyika ni sawa na wabunge 100 wa Magamba!
umerogwaa nini! Hujuwi kuwa thamani ya mbunge mmoja wa ccm ni sawa na secretariet nzima ya Cdm?
So why does Mbowe remain reluctant about handing over chairmanship to Mnyika? I guess the upcoming politician would have introduced more unconventional ideas had Chadema accorded him more powers.
umerogwaa nini! Hujuwi kuwa thamani ya mbunge mmoja wa ccm ni sawa na secretariet nzima ya Cdm?
umerogwaa nini! Hujuwi kuwa thamani ya mbunge mmoja wa ccm ni sawa na secretariet nzima ya Cdm?
huyu Mmnyinka namwombea maisha marefu na natatmani siku moja awe Raisi wetu kwa sababu zifuatazo;
1/ Anao uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja.
2/ Ni mwadilifu
3/ Ni mzalendo mwenye uchungu na nchi yake.
4/ Anachukia ufisadi
huyu Mmnyinka namwombea maisha marefu na natatmani siku moja awe Raisi wetu kwa sababu zifuatazo;
1/ Anao uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja.
2/ Ni mwadilifu
3/ Ni mzalendo mwenye uchungu na nchi yake.
4/ Anachukia ufisadi
Ukisikia mtu mwenye akili za utumbo wa panya ndo category hiyo, mbunge wa chama cha magamba hana thamani hata ya kuzidi mbuzi wa pale Vingunguti.
Mwita25 kweli wewe kama karata ni garasa! Where and when did you hear that Hon. Mbowe is reluctant to hand over chairmaship to Mnyika? CDM si kama CCM ambako viongozi wanacaguliwa na mapacha watatu, kule kuna demokrasia zaidi. Ebu ni PM nikusemeshe kwa kikurya.