Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
- Thread starter
- #41
assessment yako naweza kukubaliana nayo....but....kitendo chake cha kukubali kutumiwa kusaini kile ki-toilet paper cha pale ikulu baada ya chadema kukutana na JK kimenifanya nianze kujiuliza mara mbili mbili if kweli he's as smart as the hype blows!
Kusaini kile ki toilet paper lilikuwa chaka la miba waliloingizwa viongozi wote wa CDM na msanii mkuu TZ bwana JK. We unadhani pale angefanyaje?