Tetere Enjiwa
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 217
- 65
wadau kile kipengele cha kununua vifaa chakavu katika muswada wa manunuzi ya umma leo kinaelekea kupita na kuwa sheria. Magamba imemtumia mh Mnyika katika hilo, kwa kumkaimisha nafasi ya mh Zitto ya kuvikwa kilemba cha uchangiaji makini kwa kusifiwa na mwanasheria mkuu huku spika akimtengenezea mazingira.
Alichokifanya Mnyika ni kutoa hoja za kupinga, anafatiwa na mh Zambi kuonyesha kuwa naye ana mawazo kama ya mnyika ila mwisho wa siku wanabadilisha misimamo yao ya awali kuwa wameridhishwa na ufafanuzi wa AG na serikali.
Mambo ndio haya nchi hii wananchi hatuna watetezi, tutafute njia mbadala.
Alichokifanya Mnyika ni kutoa hoja za kupinga, anafatiwa na mh Zambi kuonyesha kuwa naye ana mawazo kama ya mnyika ila mwisho wa siku wanabadilisha misimamo yao ya awali kuwa wameridhishwa na ufafanuzi wa AG na serikali.
Mambo ndio haya nchi hii wananchi hatuna watetezi, tutafute njia mbadala.