Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
We unafikiri ni kitu gani kipya kinafanyika chini ya jua, acha jamaa apewe shavu punguza wivuSina Ugomvi na JM but Ningepata muunganiko wa misifa aliyomwaga Magufuli vs Ujenzi wa kituo cha mabasi Mbezi, maana nijuavyo kituo kilianza kabla ya Mnyika kuwa Mbunge.....nashawishika kuamini kwamba huenda waziri kakosa cha kuongea hapo.................