Mnyika mbona kimya?:Safari ya kifisadi Kigali.

kwanini sasa hivi wapo nani katk serikali kuu?kipi bora Mnyika nayekuja na Ideas ambazo magamba wasingewahi zifikiri ila hwataki zitenda, au magamba waje na solutions zilezile zilizoshindwa huku wakiwa na sababu kibao za kujitetea.Possibly mnyika na mawazo mapya kwani ipo siku magamba watalazimishwa na raia kufanya au kutoka

Nicholas, idea ni nzuri, lakini uzuri wake ni pale zinapokuwa zimetumika. Idea zisizotumika hazina madhara wala maana yoyote.
 
unashangaa kufagia wakati zaidi ya nusu ya watanzania wote wanaotumia vyoo vya kigeni hawajui flash wala jua ubaya wa uchafu?Nenda muhimbili katika toilets wala si za wagonjwa tuu ila watumiavyo staff,then UDOM na Mlimani.Then uje piga bla baha hapa kuwa course ya kutumia vyoo ya nini?kwani wasomi hawajui tumia vyoo?Huku nchi ikipoteza mamilioni ya hela kwa ajili ya kutengeneza ,kunjenga mifumo ya maji chafu ktik majengo.

Na hao madiwani wa chadema ndio hawajui kutumia vyoo vya flash wanaeda kujifunza Rwanda? ndivyo unavyotaka kunikubalisha? siamini.
 
Na hao madiwani wa chadema ndio hawajui kutumia vyoo vya flash wanaeda kujifunza Rwanda? ndivyo unavyotaka kunikubalisha? siamini.

sijui kama unaelewa unachokiandika fasta.Unaruhusiwa kisoma kwa muda mrefu.Hao wanatumia vyoo vibaya Tanzania nzima hadi ktk office za CCM ni Chadema?Nenda Lumumba pale uone vyoo vilivyoziba na kunuka,Nenda university zote, nenda muhimbili tena vyoo vya stuff ndipo utaona hasara ya huu ujinga wa watu wenye fikra kama zenu.Mnajifanya mnajua kila kitu huku mkituaminisha kuwa vitu simple hakuna siyevijua.Mnasahau kuw andnai yake kumekaa tabia mbaya sana za binadamu....Serikali ya CCM ina rundo la wabunge hawajui tumia basic applications za computers, achilia mbalia basic idea ya computer security..pamoja na kwamba wamehudhuria sana training nyingi za ndani na nje.Wananunu simu za bei kubwa, Teblet na Laptops zote za kisasa lazima wawe nazo ila huishia kuwa kama show off tuu.

Kajipange kidogo wewe msahbiki
 
Na hao madiwani wa chadema ndio hawajui kutumia vyoo vya flash wanaeda kujifunza Rwanda? ndivyo unavyotaka kunikubalisha? siamini.

Zomba, hata mimi siamini kuwa madiwani wa Moshi wnaataka kwenda Kigali kujifunza ku-flash vyoo au kufagia. Nadhani wamebuni kautaratibu ka kuongeza kipato tu.

Kama wangekuwa na nia nzuri na kuonyesha uongozi bora, wangeleta wawakilishi wawili au hata watatu kutoka Rwanda kuja kuitembelea Moshi, kuangalia taratibu zilizopo Moshi na kupendekeza marekebisho baada ya kujadiliana nao njia wanazotumia kuifanya Kigali ipate mafanikio inayopata. Utaratibu huo ni rahisi na wa gharama nafuu zaidi.

Gama ni Mkuu wa Mkoa jasiri sana. Hata wasemeje hatabadilika katika uamuzi huo kwakuwa anajua ni uamuzi mzuri zaidi.
 

Zomba, hata mimi siamini kuwa madiwani wa Moshi wnaataka kwenda Kigali kujifunza ku-flash vyoo au kufagia. Nadhani wamebuni kautaratibu ka kuongeza kipato tu.

Kama wangekuwa na nia nzuri na kuonyesha uongozi bora, wangeleta wawakilishi wawili au hata watatu kutoka Rwanda kuja kuitembelea Moshi, kuangalia taratibu zilizopo Moshi na kupendekeza marekebisho baada ya kujadiliana nao njia wanazotumia kuifanya Kigali ipate mafanikio inayopata. Utaratibu huo ni rahisi na wa gharama nafuu zaidi.

Gama ni Mkuu wa Mkoa jasiri sana. Hata wasemeje hatabadilika katika uamuzi huo kwakuwa anajua ni uamuzi mzuri zaidi.

kipato gani sasa hapa kipo?check page ya kwanza mnchanganuo wangu wa haraka tuu uone.
 
Huyo mkuu wa mkoa aseme kuwa alitegemea hiyo safari ifanyweje?kwani hapa njia pekee ni kupunguza watu au kuwaleta wataalamu wa Kigali wakiwa na video napolicises zao za usafi miji waje wafundisha moshi.Ila kama alipiga chini project na hakuwa na mbadala kachemsha.Kwa moshi Mji unaoongoza kwa usafi TZ na wana sheria kali sana, usafi ni issue ya kila siadhani kama kuna diwani ambaye ambaye angekuwa tayari kosa wakati ana jukumu la kurudi simamia usafi katk kata yake.

Njia ya kuwaleta wataalamu au hata kupeleka madiwani wachache nighali zaidi.Kwani hao waliokwenda wangetumia hela karibu robo,na wakirudi walipwe posho kuwafundisha wengine ambao nao wangehitaji posho.Na hata kuleta wataalamu hata watatu tuu ni gharama kuwalipa na pia kuwalipa hao madiwani posho zao.Yoote haya pia haya gurantee mafanikio ya zoezi hilo.

Kwa hiyo idadi ya watu na hiyo hela kama ingetosha kuwapa na osho bado ni matumizi yasiyoogopesha kama mawizarani:

Million 200 si hela kama mnavyodhani.kwa watu wengi hivyo kwenda nje ya nchi.

-hela/watu =>Mil 200/57=3.5087719mil/per person

-mil 3.51 au 3,510,000/= 3,510,000/1600=$2,193.75/pp

-Hela kwa siku kwa kila mtu. katika week(assuming 7 days)=> $2,193.75/pp/7=$313.393per person, per day.

Bei ya hotel yenye ubora Kigali ni around $200 per person per night. na inaweza zidi sana.Achilia mbali matumizi mengine,kama stationery,phone,internet, transport etc.Tz yenyewe hotel zinazidi $ 2,000 kwa siku,hata kama kitazidi ni kiasi kidogo ambacho mtu alistahili baki na kitu hata cha kuleta zawadi kwa familia.Zomba nadhani watu wote ni wale wacheza bao uswazi, hadi wakapoteze muda nchi ya watu bila sababu ya msingi zaidi ya hii safari.Bibi yangu mzee kabisa kila kipindi anahudhuria mafunzo ya ufugaji wa ng`ombe.Wale wamchekao kila siku kuwa kwani hajui fuga ng`ombe huwa hawambuli maziwa ya kutosha wala, ng`ombe wao ni dhaifu na hufa hovyo sana.mara nyingi hutafuta visingizio vingi kwanini hawafanikiwi katika ufugaji wenye tija.kipindupindu dar na kujaa uchafu kila penye pango,kila penye mfereji,kila penye njia ni ishara tosha kuwa tatzio lipo mbali zaidi.Na hili haliwezi ondolewa kwa simple assupmtion kuwa watu wazima waliokaa mjini wanajua kufanya vitu fulani vya kawaida katika maisha.

hakuna mtu mwenye uwekezaji moshi ataenda kigali kwa ajili ya hela ndogo hivi kama si kwa malengo ya kwenda osha macho na fikra kwelikweli.

Seems ni msukumo wa kisiasa kuliko akili.

Kwani viwango vya per diem vya serikali kuu kwa mtu akiwa nje ya nchi kwa ukanda wa africa mashariki na kati ni zipi?
 
Nicholas, idea ni nzuri, lakini uzuri wake ni pale zinapokuwa zimetumika. Idea zisizotumika hazina madhara wala maana yoyote.

Ndio mnyika na CDM wanafight ili mazingira yaruhusu zifanyiwe kazi.Na hii ni kwa kuiondoa serikali legelege ya CCM,isiyotenda wasemalo hata kama ni suluhu ya matatizo yao kichama.
 
Kazi ipo nji hii, yaani mtu anasema trip ya kigali f mtu anayetumia internet haijui, mtu anapendekeza mazuri kwa ajili ya chama mtu analeta masikhra
 
Mwanangu me hata mkono nakuunga.i ndo tatizo ya kuwa na viongoz ambao na wao wanashida pesa hawana.asipopewa na fungu na serikal basi na yeye chali.angalia kwa lowasa na kwa Nimrold mkono.pesa ipo kule
 
ukisikia ukameroooni ndio huuuuuo, maendeleo yapi unayoyataka akuleteeeee? fanya utafiti kabla ya kuja na hoja dhaifu hapa, sidhani kama wote watakaosoma hiii ni wapigakura wa ubungo!

Mnyika ni mbunge wangu kule kimara. hajafanya lolote kwenye jimbo langu tangu achaguliwe. mimi nilikuwa mmoja wapo wa watu waliopigwa na mbu na baridi kulinda kura zake zisiibiwe na magamba. lakini sasaivi maji naagiza lori lije nipandishe kwenye tank kwa pesa yangu binafsi wakati mabomba ya mchina yametandikwa hadi kwenye nyumba yangu, maji hayatoki. mbunge huyu anatusaidia nini? MWAKE 2015 NITACHAGUA MBUNGE WA CHADEMA, lakini nataka wambadilishe aje mgombea mwingine wa chadema na si mnyika, kwasababu akigombe atena, wananchi ha huku hawataki hata kumsikia...wanaona bora hata keenja. magari yanaharibika kwasababu barabara mbaya mno mitaa ya kimara...hatujawahi kuona ameongelea hilo bungeni hata siku moja ili tujue kuwa basi amehangaika kidogo, anachofanya ni kupigania chama kitaifa na kututelekeza...sisi hatuli chadema pamoja na kwamban i wanachadema, tunahitaji utujali ili tuone uzuri wa chama. amini msiamini, kama mtu mwingine wa chadema hatagombea ubungo, basi jimbo linaweza kurudi kwa magamba au kwenda cuf pamoja na kwamba kimara na ubungo tumejaa WACHAGA.
 
wanahela za wizi, wapi wanaweza pata hela kihalali nawe ukachukue?

Mwanangu me hata mkono nakuunga.i ndo tatizo ya kuwa na viongoz ambao na wao wanashida pesa hawana.asipopewa na fungu na serikal basi na yeye chali.angalia kwa lowasa na kwa Nimrold mkono.pesa ipo kule
 
Hivi watu mbona wagumu sana kuelewa? Mbunge atatowa wapi pesa ya kuwaletea hayo maji? Muhimu ni pale chama chake kitakaposhika dola ndio ataweza kutimiza hizo ''haja'' zenu.........hebu someni anayoyafanya kabla ya kulaumu

JOHN MNYIKA
 
Asante kwa ufafanuzi, tena hapo hujaweka return ticke za ndege, sidhani kama ni gharama kama anavyosema huyo RC...hao watendaji wanastahilo pongezi sana, mafisadi walikuwa wanakusanya shs 70 million kwa matangazo, wao sasa wanakusanya 400 million, ni ongezeko la asilimia 471!, kwanini wasitumie 200 kwa mafunzo?

Huyo mkuu wa mkoa aseme kuwa alitegemea hiyo safari ifanyweje?kwani hapa njia pekee ni kupunguza watu au kuwaleta wataalamu wa Kigali wakiwa na video napolicises zao za usafi miji waje wafundisha moshi.Ila kama alipiga chini project na hakuwa na mbadala kachemsha.Kwa moshi Mji unaoongoza kwa usafi TZ na wana sheria kali sana, usafi ni issue ya kila siadhani kama kuna diwani ambaye ambaye angekuwa tayari kosa wakati ana jukumu la kurudi simamia usafi katk kata yake.

Njia ya kuwaleta wataalamu au hata kupeleka madiwani wachache nighali zaidi.Kwani hao waliokwenda wangetumia hela karibu robo,na wakirudi walipwe posho kuwafundisha wengine ambao nao wangehitaji posho.Na hata kuleta wataalamu hata watatu tuu ni gharama kuwalipa na pia kuwalipa hao madiwani posho zao.Yoote haya pia haya gurantee mafanikio ya zoezi hilo.

Kwa hiyo idadi ya watu na hiyo hela kama ingetosha kuwapa na osho bado ni matumizi yasiyoogopesha kama mawizarani:

Million 200 si hela kama mnavyodhani.kwa watu wengi hivyo kwenda nje ya nchi.

-hela/watu =>Mil 200/57=3.5087719mil/per person

-mil 3.51 au 3,510,000/= 3,510,000/1600=$2,193.75/pp

-Hela kwa siku kwa kila mtu. katika week(assuming 7 days)=> $2,193.75/pp/7=$313.393per person, per day.

Bei ya hotel yenye ubora Kigali ni around $200 per person per night. na inaweza zidi sana.Achilia mbali matumizi mengine,kama stationery,phone,internet, transport etc.Tz yenyewe hotel zinazidi $ 2,000 kwa siku,hata kama kitazidi ni kiasi kidogo ambacho mtu alistahili baki na kitu hata cha kuleta zawadi kwa familia.Zomba nadhani watu wote ni wale wacheza bao uswazi, hadi wakapoteze muda nchi ya watu bila sababu ya msingi zaidi ya hii safari.Bibi yangu mzee kabisa kila kipindi anahudhuria mafunzo ya ufugaji wa ng`ombe.Wale wamchekao kila siku kuwa kwani hajui fuga ng`ombe huwa hawambuli maziwa ya kutosha wala, ng`ombe wao ni dhaifu na hufa hovyo sana.mara nyingi hutafuta visingizio vingi kwanini hawafanikiwi katika ufugaji wenye tija.kipindupindu dar na kujaa uchafu kila penye pango,kila penye mfereji,kila penye njia ni ishara tosha kuwa tatzio lipo mbali zaidi.Na hili haliwezi ondolewa kwa simple assupmtion kuwa watu wazima waliokaa mjini wanajua kufanya vitu fulani vya kawaida katika maisha.

hakuna mtu mwenye uwekezaji moshi ataenda kigali kwa ajili ya hela ndogo hivi kama si kwa malengo ya kwenda osha macho na fikra kwelikweli.

Seems ni msukumo wa kisiasa kuliko akili.

Kwani viwango vya per diem vya serikali kuu kwa mtu akiwa nje ya nchi kwa ukanda wa africa mashariki na kati ni zipi?
 
ukisikia ukameroooni ndio huuuuuo, maendeleo yapi unayoyataka akuleteeeee? fanya utafiti kabla ya kuja na hoja dhaifu hapa, sidhani kama wote watakaosoma hiii ni wapigakura wa ubungo!
ayatoayo mtu ni yale yaliyoujaza moyo wake, ukiona mtu anaongelea mabwabwabwabwa ujue moyoni na kichwani mwake umejaa ubwabwa tu...wewe ni bwabwa mwenyewe, huna maana. ungekuwa mwanaume halisi ungeelewa nilichoandika. siwezi kubishana na mabwabwa. sisi tunaokaa huku ubungo ndio tunaoliona joto ya jiwe, na mbunge huyu hatusaidii chochote, wala sijawahi kuona ameongelea matatizo yetu bungeni, zaidi ya kuongelea matatizo ya cdm in general kitaifa etc. ndo maana nimemshauri awaige wenzie kina tundu lisu, pamoja na kwamba ni wapambanani, wanajali kwao kwa wale waliompa kura. haiji akilini kuona mabomba yapo hadi majumbani mwetu lakini hayatoi maji...unataka matatizo yetu tumwambie nani ili atuwakilishie kwenye selikali kuu yatatulike? si kila mwanachadema anafanya kazi, wengine wapo hapo na wavivu na hawana faida kwenye chama wala kwa wananchi, zaidi ya kufurahia marupurupu, hata yale ya maendeleo ya jimbo basi tuyaone kwenye jimbo letu. kama hujaelewa hadi hapo, rudi shule kaanze chekechea.
 
kipato gani sasa hapa kipo?check page ya kwanza mnchanganuo wangu wa haraka tuu uone.


Kipato sio lazima kiwe kikubwa sana kuwa na maana. Maana ukubwa wa kitu unategemea na mtazamaji. Kipato kinaweza kuchukuliwa pia kama fursa ya kutumia tu, hata kama hakitaingia mfukoni.

Madiwani wanataka kutumia pesa za umma kwenda Rwanda kwa wingi wao. Ina maana wakienda wachache au wakiagiza wataalamu kuja kuwafundisha, haitakuwa na tija zaidi? Kuna ulazima gani wa kwenda madiwani wote? Ningeelewa kama wanataka kutumia safari hiyo kama kujizawadia ufanisi.
 
nilikotoka ni afadhali kuliko huku kwa mnyika. hayo mabomba yalietwa na magamba, yeye hajaleta chochote, kama yupo hapa atuambie nini amefanya tangu achaguliwe...basi hata kuongea tu bungeni kuhusu matatizo yetu aongee, yeye anajikitak wenye chadema taifa tu m4c. wenzie kina tundu lisu wanapiga mzigo kitaifa na jimboni wapo...wabunge wengi wa cdm wanapiga mzigo taifani na jimboni wapo, yeye anapiga taifani peke yake jimboni anazembea haoni kama anahatarisha kura za cdm 2015.....
Ni kweli mkuu. Mimi naishi Mbezi Luis. Hali ya maji inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Alikuja siku moja tukamtolea malalamiko yetu. Cha kushangaza kasema eti tuandike barua DAWASCO na wakitujibu tumweleze wamejibu nini. Mambo ya kushangaza sana. Umepewa malalamiko na wewe ndo mwakilishi wa wananchi, nenda dawasco tafuta ufumbuzi wa tatizo
 
Asante kwa ufafanuzi, tena hapo hujaweka return ticke za ndege, sidhani kama ni gharama kama anavyosema huyo RC...hao watendaji wanastahilo pongezi sana, mafisadi walikuwa wanakusanya shs 70 million kwa matangazo, wao sasa wanakusanya 400 million, ni ongezeko la asilimia 471!, kwanini wasitumie 200 kwa mafunzo?

Hiii mitizamo ya hawa jamaa ndio imefanya dar despite opportunities ilizo nazo kuchelewa sana kuwa na mambo ya msingi.Hata fikra za watu wake wengi ktk mambo yaliyopaswa kuwa sehemu ya maisha ni za kushtusha sana.
 


Kipato sio lazima kiwe kikubwa sana kuwa na maana. Maana ukubwa wa kitu unategemea na mtazamaji. Kipato kinaweza kuchukuliwa pia kama fursa ya kutumia tu, hata kama hakitaingia mfukoni.

Madiwani wanataka kutumia pesa za umma kwenda Rwanda kwa wingi wao. Ina maana wakienda wachache au wakiagiza wataalamu kuja kuwafundisha, haitakuwa na tija zaidi? Kuna ulazima gani wa kwenda madiwani wote? Ningeelewa kama wanataka kutumia safari hiyo kama kujizawadia ufanisi.
Hoja dhaifu sana...watu wa kilimanjaro si wa namna hiyo,hawawezi acha kazi zao kizembe hivyo_Otherwise wangepropose sehemu tamu zaidi.kajipange upya.
 
Ndugu Mnyika huwa
mwepesi sana kulaani, kutoa maoni na hata mawzo mbadala katika matukio
mbali mbali ya kisiasa au vinginevyo nchini, kwa kusisitiza msimamo wa
chama chake, CHADEMA.

Habari za kustua za mpango ulioandaliwa chini ya Meya wa mji wa Moshi,
kwa ajili ya watendaji wake katika Halmashauri imesisimua umma, hasa
katika mitandao, kulaani matumizi mbabaya ya fedha za umma.
lMbaya zaidi kwa vile CDM imejipambanu kuwa mbadala wa CCM katika
kuongoza nchi hii.

Yale yaliyoonekana wiki hii huko Moshi, ni dhahiri ufisadi wa mali ya
umma.

Sasa wengi wetu tulitazamia msimamo wa CDM juu ya hili,lakini wiki
inakatika.Moshi ni"Mecca" ya CDM na kwa haya kutokea Watanzania tunapata
somo kubwa sana hapa.

Kisemwacho majukwaani inaelekea ni maneno matupu, ndugu zetu hawa
wakikamata nchi tusitegemee ufisadi kuisha.

Mkuu,wenyewe wanampeenda huyo! ukikomaa kumsema unaweza kula hata Ban! kupenda balaa!
 
mrudi ktk hoja .mbona mnahama hayo ya mnyika mtasema sana yasiyo na maana ila mtaona anachuku tena jimbondipo mtkapojua nani mzandiki.CDM si CCM waweze chakachua.
 
Back
Top Bottom