Mnyika, Lissu wameianza kazi waliyotumwa

Ana anaanzakuchapia sikia anachojibu u.....!!!!!!!:yield::yield::yield::yield::yield:
Kwanini kamati sisiundwe kwanza ndo mapungufu hayo we mama!!!!!!
 
anajitetea eti mpaka sasa serikali haijaungwa,,,,, da huyu mama kweli hafai sjui atatufikisha wapi,,,, da anaongea pumba mbaya kabisa
 
Kapata jibu la Tundu Lissu............du ni baada ya kupata majibu kwa akina SITTA.
Kinachofuata uchaguzi wa naibu spika.
 
Duh,naibu spika amechakachua hoja ya mpiganaji mh.tundu lisu kwa kusema kanuni za bunge haziruhusu mbunge kuwasilisha hoja ya ufafanuzi iwapo spika ameshapitisha kipengele cha kupiga kura.
 
Baada ya kutumia muda wa kuhesabu kura akisoma kanuni spika amekuja na majibu yafuatayo:

a}: Kwamba hoja lazima ipitie kwenye kamati jibu ni kwamba hadi sasa hatuna kamati hivyo kifungu hiki kisingetumika.

b}: Kwamba kama hoja ni ya serikali basi upinzani basi ungekuwa na sauti kwenye mjadala, na ndipo TUndu Lissu alipoomba mwongozo. Hili kajibu kwamba hadi sasa hakuna serikali.

c}: Kuhusu kuwepo mjadala kwenye hoja zilizoletwa spika akjibu kwamba ameuliza watu na wakatoa hoja zao na hivyo imejadiliwa.

Jadili narudi seating room ku-check uteuzi wa naibu spika.
 
tundu lissu watamkoma mwaka huu kaomba tena mwongozo wa spika mama kawa mkali
 
Spika makinda , amechemka . Bunge la Mwaka huu ndio limeanza hakuna lelemama . Ndio maana Sitta alitakiwa kusimamia ili kuepusha serikali kuvuliwa nguo. Mwaka huu kila kitu kitawekwa hadharani.
 
Tindu Lissu awaumbua tena.

Mgombea unaibu spika kaulizwa na Stela Manyanya kwamba iweje agombee wakati wametamka kwamba hawamtambu rais.

Tundu Lissu akasoma kifungu 64(1)(1b) kwamba hairuhusiwi kujadili hoja ambayo ni nje ya mjadala.
Hoja iliyopa ni yauchaguzi wa naibu spika na si mjadala wa kumtabua rais.

Anne makinda akaingilia na kusema hata "wewe Tundu Lissu unavunja kanuni kwa kuingilia mawazo ya mwenzio". Hivyo akamlazimisha magomeba kujibu swali.
 
Kwa mawazo yangu, Tundu Lissu amekurupuka!

  • Ni kweli hakuna serikali mpaka sasa
  • Ni kweli pia kamati za Bunge hazijaundwa kwa kuwa hata wabunge wanaendelea kuapishwa
  • Ni kweli mama alisema hoja ijadiliwe, Mbunge mmoja akasema hakuna haja wakaiunga mkono.
Sasa koseni kutoka hapa!
 
Mama mbabe, gaidi, anatakiwa ajibu kutokana na vifungu bali anajibu kutokana na akili yake.
 
Mambo yanazidi kuwa matamu na kunoga bungeni!sasa ni mchakato wa kuchagua naibu spika.Mh.mnyaa ajitoa kugombea unaibu spika kwa sababu kagombea nafasi ya kuwasilisha bunge sadc.
 
CUF = CCM mmeona mnyaa alivyokuwa mnafiki kajitoa kwenye kugombea unaibu spika. cuf zero kabisa.
 
tunaelekea wapi na spika huyu dikteta! Oh my God, this country is going nowhere...
 
Back
Top Bottom