Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,996
- Thread starter
- #21
najua ccm kwa posho hawawezekani. Wanatamani kila mmoja apokee sh million 10 kwa siku.
Kwa hivyo naamini sasa wanapokea laki 2 badala ya 70 elf.
Lkn jee hawa wa chadema wanapokea sh ngapi? Au 70 elf au chini ya hapo ?
wamesema kuliko zirudi kwa mafisadi bora waendelee nao kula wawe kwenye kumbu kumbu za serikali
loh