Iweje usiseme Mikongeni ni wapi? Au ni jiji kubwa ambalo kila mtu atakuwa analijua?Kwa taarifa fupi, nipo hapa maeneo ya Mikongeni kuna shamra shamra zinazoendelea kwa ajili ya kufunguliwa tawi hilo na mheshimiwa Mnyika.
Matawi watafungua sana je wanaongeza wanachama au wanapunguza wanachama
Iweje usiseme Mikongeni ni wapi? Au ni jiji kubwa ambalo kila mtu atakuwa analijua?
Ni tumaini langu hakutakuwa na kuingiliwa na akina Kamuhanda huko. Maana ana siku kadhaa hajaua.
Hii haikusaidii wewe na post zako 4, la muhimu we nenda kamuulize babako kuwa alipomwoa mamako alijua atawazaa nyie watoto 10??
Mkuu, ametumwa kuharibu, ila aangalie asiharibike yeye mwenyewe. Ukifungua tawi maana yake watu wa kutosha na endelevu wapo, wivu wa nini, anaye wake ccm, mnyika naye anaye wake anayemfungua. Chuki ya nini kati yake ntoto huyu na na umma wa m4c?Hii haikusaidii wewe na post zako 4, la muhimu we nenda kamuulize babako kuwa alipomwoa mamako alijua atawazaa nyie watoto 10??
Kwa taarifa fupi, nipo hapa maeneo ya Mikongeni kuna shamra shamra zinazoendelea kwa ajili ya kufunguliwa tawi hilo na mheshimiwa Mnyika.
Hoja ni maneno si matusi kwa mtazamo wako chadema watafika mbali ni ndoto njema ila unaota mchana
Hujajua tu kwamba CDM inatwanga kotekote? Kufungua matawi, kupata wanachama wapya na kushughulikia kero za wananchi vinakwenda sambamba, na sio moja baada ya lingine.yaani sisi wakazi wa manzese tuna matatizo ya maji,barabara yeye anawaza kufungua matawi haki ya nani huyu jamaa lazima 2015.....lazima ang'oke
chadema...haitafika mbali propagandA YA UDINI,UKABILA,UKANDA NA UFREEMASONS ITAWAANGUSHA 2015