Childish.
Silly Season.
Let us stretch our brain a little bit more!!..............maana zaidi 40% ya watoto wa kitanzania akili zimedumaa! they cannot question! by msigwa! wenye akili nyingi wameziweka mfukoni!
Childish.
Silly Season.
Mbunge kijana ambae anaonesha kuwa umaarufu na madaraka ya ubunge yamemlevya amefikia hatua ya kumuingia Kikwete binafsi kwa kumwita, kwa kejeli na dharau eti ni "dhaifu".
Kwa muono wangu, Mnyika amepotoka na amekosa heshima na adabu kwa sio tu mtu aliyemzidi umri, bali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa Watanzania wote ambao tumeridhika kwa kumchagua Kikwete kwa kumpigia kura atuongoze.
Mnyika baada ya kushindwa kuwasilisha hoja kuhusu bajeti akaamuwa kwa makusudi kabisa, kutoa lugha inayokera, si tu kwa Rais, bali kwa bunge pia, kuwa wote ni "wazembe" na CCM yote ni "upuuzi".
Kweli kabisa, mimi ni mwana CCM na umenitukana, kwa hilo, umetangaza vita binafsi na mimi na wana CCM wote, hali kadhalika na Wabunge wote kwa kuwaita "wazembe". Jee, kijana hicho kiburi cha kututukana wote pamoja na Rais wetu mpendwa kwa ajili ya huo Ubunge? au kuna kinachokufanya ujione kuwa uko juu ya sheria, kwa kuwa upo hapo na watunga sheria wengine?
Nakuhakikishia, vita uliyoitangaza itakugharimu kupita uwezo wa kufikiri, na majuto ni mjukuu.
Kikwete humuwezi.
Zomba huwezi vita binafsi na Mnyika. Unakumbuka shuka kumeshapambazuka. Wenzako tumetangaza vita dhidi ya viongozi dhaifu siku nyingi sana. Mtu mzima hovyo hafai kuheshimiwa hata kama ni raisi wa dunia. Na kwa taarifa yako hamna sheria inayonikataza kumwita Kikwete dhaifu na ndiyo maana Mnyika hakufuta kauli na leo ametinga mjengoni. Kaa ukijua mwaka 2015 tukishachukua nchi tutawashitaki viongozi wote dhaifu kwa kulisababishia taifa hili hasara kutokana na udhaifu wao. Endeleeni na udhaifu wenu sie tunachuma fimbo za kuwachapa sawasawa.
Mnyika humwezi.
Kiukweli kwa kipaji hiki, Mnyika hamuwezi JK kabisaaaaa
Kwa hiyo wewe unaamini kabisa kuwa Kikwete sio dhaifu? (si kimwili au kiafya bali kiutendaji na hili ndilo wana CCM hamtaki kulielewa). Je ni kwa nini alishindwa kuvunja baraza lake la mawaziri mpaka akataka ushauri wa CC ya CCM?
Mimi inawezekana simuwezi kwa kuwa sipo pale mjengoni wala Serikalini, lakini nasema Mnyika Kikwete hamuwezi. Amuone vile vile anacheka cheka, lakini "mtoto akichezea wembe muache". Sisi tunalitazama hili sakata litaishia wapi.
Hatutomwachia kabisa "mpaka kieleweke", kitoto kidogo kile hakiwezi kuja kututukana tukakiacha kicheke cheke hovyo. Lazima ajuwe maana ya Serikali ni nini, maana ya Rais ni nini, maana ya Bunge ni nini na maana ya kutukana ni nini.
Naanza kampeni rasmi, ya kuhamasisha kushikishwa adabu. Na hapa nimeanza tu, kukumbusha kuwa Mnyika Kikwete hamuwezi.
Nadhani imefika wakati sasa Rais inabidi aoneshe udikteta kama wa Mkapa , enzi zile midono ya watu kama hawa ilifyata kama mikia ! Rais tunaomba uwashikishe adabu watu kama hawa ambao hawana nidhamu kabisa, hata iweje huwezi kuwa na kiburi na dharau kiasi hicho kwa kiongozi wako wa nchi! Rais tunaomba huyu aadabishwe ! na iwe fundisho kwa wengine !
Mbunge kijana ambae anaonesha kuwa umaarufu na madaraka ya ubunge yamemlevya amefikia hatua ya kumuingia Kikwete binafsi kwa kumwita, kwa kejeli na dharau eti ni "dhaifu".
Kwa muono wangu, Mnyika amepotoka na amekosa heshima na adabu kwa sio tu mtu aliyemzidi umri, bali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa Watanzania wote ambao tumeridhika kwa kumchagua Kikwete kwa kumpigia kura atuongoze.
Mnyika baada ya kushindwa kuwasilisha hoja kuhusu bajeti akaamuwa kwa makusudi kabisa, kutoa lugha inayokera, si tu kwa Rais, bali kwa bunge pia, kuwa wote ni "wazembe" na CCM yote ni "upuuzi".
Kweli kabisa, mimi ni mwana CCM na umenitukana, kwa hilo, umetangaza vita binafsi na mimi na wana CCM wote, hali kadhalika na Wabunge wote kwa kuwaita "wazembe". Jee, kijana hicho kiburi cha kututukana wote pamoja na Rais wetu mpendwa kwa ajili ya huo Ubunge? au kuna kinachokufanya ujione kuwa uko juu ya sheria, kwa kuwa upo hapo na watunga sheria wengine?
Nakuhakikishia, vita uliyoitangaza itakugharimu kupita uwezo wa kufikiri, na majuto ni mjukuu.
Kikwete humuwezi.
CDM and its supporters are more loyal to the church than to the country!
Nasema hivi, nyinyi hamuelewi msemo wa Kiswahili unaosema "asiyefundwa na ***** hufundwa na ulimengu", huyu kijana hajafudwa kwao, na sasa ulimwengu utamfunda. Kacheza na moto ambao haujuwi joto lake.
Kajiingiza kichwa kichwa pabaya sana, kavuka mipaka ya demokrasia, kashindwa kuleta hoja kaleta dharau na hilo hatuliwachi likapita ili iwe fundisho kwa wengine.
Mbunge kijana ambae anaonesha kuwa umaarufu na madaraka ya ubunge yamemlevya amefikia hatua ya kumuingia Kikwete binafsi kwa kumwita, kwa kejeli na dharau eti ni "dhaifu".
Kwa muono wangu, Mnyika amepotoka na amekosa heshima na adabu kwa sio tu mtu aliyemzidi umri, bali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa Watanzania wote ambao tumeridhika kwa kumchagua Kikwete kwa kumpigia kura atuongoze.
Mnyika baada ya kushindwa kuwasilisha hoja kuhusu bajeti akaamuwa kwa makusudi kabisa, kutoa lugha inayokera, si tu kwa Rais, bali kwa bunge pia, kuwa wote ni "wazembe" na CCM yote ni "upuuzi".
Kweli kabisa, mimi ni mwana CCM na umenitukana, kwa hilo, umetangaza vita binafsi na mimi na wana CCM wote, hali kadhalika na Wabunge wote kwa kuwaita "wazembe". Jee, kijana hicho kiburi cha kututukana wote pamoja na Rais wetu mpendwa kwa ajili ya huo Ubunge? au kuna kinachokufanya ujione kuwa uko juu ya sheria, kwa kuwa upo hapo na watunga sheria wengine?
Nakuhakikishia, vita uliyoitangaza itakugharimu kupita uwezo wa kufikiri, na majuto ni mjukuu.
Kikwete humuwezi.
Mnyika yeye alichofanya ni kusema "Ukweli", Hapa hajatukana sasa kama bajeti iliyowakilishwa ni dhaifu basi hata aliyeisani ni dhaifu pia.
Nasema hivi, nyinyi hamuelewi msemo wa Kiswahili unaosema "asiyefundwa na ***** hufundwa na ulimengu", huyu kijana hajafudwa kwao, na sasa ulimwengu utamfunda. Kacheza na moto ambao haujuwi joto lake.
Kajiingiza kichwa kichwa pabaya sana, kavuka mipaka ya demokrasia, kashindwa kuleta hoja kaleta dharau na hilo hatuliwachi likapita ili iwe fundisho kwa wengine.