Mnyika hizo kambi za kufundishwa umafia hata mvomero zipo

Sep 3, 2012
26
3
CCM imeendelea na programu zake za kufundisha umafia vijana na sasa wapo kambini kijiji cha Lungo Kata ya Mtibwa huko wilayani Mvomero. Lengo kubwa ni kuwatisha wananchi ili waendelee kutawala. Wanawalipa sh 30,000.00 kwa wiki.

Ujumbe kwa vijana: Njaa ya tumbo isiwadhalilishe,ccm ndio waliowanyima elimu,ndio walionyima ajira,ndio waliowanyima mafao mbalimbali wazazi wenu,ndio wanaowanyanyasa walimu na madaktari hata mkakosa huduma muhimu na hatimae tunakufa mapema. Vijana amkeni,mnatumiwa kwa muda tu baada ya hapo ninyi mnageuka kalai la zege ambalo nyumba ikishakujengwa linatupwa kuwa ni uchafu.
 
Nimekuwa nikishtushwa sana na Muheshimiwa mbunge wetu Mnyika mara nyingi amekuwa akiegemea sana kwenye habari za magazeti too much na huwa inaeleweka ya kwamba magazeti huwa yanachakachua sana habari, kuna siku Mheshimiwa JUMA NKAMIA Mbunge wa CCM aliwahi kumwambia kwamba Nchi haiendeshwi na vyombo vya habari au magazeti hivyo namsihi huyu muheshimiwa aache hio tabia ya kuegemea magazeti kwa vile hata watu wa magazeti huwa na ajenda zao naomba ujifunze kutoka kwa maneno ya JUMA NKAMIA aliyokwamia Bungeni
Pg.3.JPG
 
kwanza ukweli au uongo wa aliyosema uthibitishwe ndipo lawama ama pongezi zielekezwe kwake....!
 
Hilo gazeti aliloshika Mnyika ninaliogopa hata kufungia nyanya.
 
CCM wamewakusanya vijana kutoka kila pande ya wilaya ya mvomero kwa lengo moja tu kuhakikisha kila mwenye fikira tofauti na wao anashughulikiwa. Kikundi hiki cha vijana kipo kijiji cha Lungo huko Mtibwa Turiani Morogoro. Pia inatia mashaka kwani kata ya tibwa ni miongoni mwa kata 29 zinazotarajiwa kufanya uchaguzi mdogo wa udiwani. AAAAAAAAAAAAAAh kumbe lengo laoni vijana wa kuwatisha wapinzani wao. vijana msikubali kutumiwa na mafisadi kwa ajili ya utawala wa kifisadi uliowekwa madarakani na mafisadi. Kumbukeni Mtibwa Sugar baba zenu,kaka zenu wananyanyasika kila kukicha na kiwanda ni chao mafisadi,leo manambulia elfu 30 kufundishwa udhalimu.
 
CCM wamewakusanya vijana kutoka kila pande ya wilaya ya mvomero kwa lengo moja tu kuhakikisha kila mwenye fikira tofauti na wao anashughulikiwa. Kikundi hiki cha vijana kipo kijiji cha Lungo huko Mtibwa Turiani Morogoro. Pia inatia mashaka kwani kata ya tibwa ni miongoni mwa kata 29 zinazotarajiwa kufanya uchaguzi mdogo wa udiwani. AAAAAAAAAAAAAAh kumbe lengo laoni vijana wa kuwatisha wapinzani wao. vijana msikubali kutumiwa na mafisadi kwa ajili ya utawala wa kifisadi uliowekwa madarakani na mafisadi. Kumbukeni Mtibwa Sugar baba zenu,kaka zenu wananyanyasika kila kukicha na kiwanda ni chao mafisadi,leo manambulia elfu 30 kufundishwa udhalimu.

Mkuu, kwenye kichwa cha habari umemtaja Makala, huyu kwa kabila ni Mnyiramba. Nakumbuka kule ulemo iramba magharibi zile kambi zilzodaiwa kuwekwa wakati wa uchaguzi mdogo wa igunga, alisomeka MWIGULU NCHEMBA "Mnyiramba" kuwa mfadhili wa kikundi hicho.

Mauaji yaliyotokea pale Ndago imeelezwa kuwa Mwigulu Nchemba "mnyiramba" aliratibu kwa upande mmoja.

Sasa tunaambiwa mvomero nako Amos Makala "mnyiramba" anaratibu mpango unaofanana na ule wa ulemo, Huyu Makala atakuwa ameshawishiwa na homeboy wake Nchemba? hii sifa mpya ya WANYIRAMBA kuwa waandaaji na waratibu wa mauaji ya kisiasa una maanisha kuwa wanyiramba si wakarimu bali wana roho mbaya next to lusifer!!!!
 
Nimekuwa nikishtushwa sana na Muheshimiwa mbunge wetu Mnyika mara nyingi amekuwa akiegemea sana kwenye habari za magazeti too much na huwa inaeleweka ya kwamba magazeti huwa yanachakachua sana habari, kuna siku Mheshimiwa JUMA NKAMIA Mbunge wa CCM aliwahi kumwambia kwamba Nchi haiendeshwi na vyombo vya habari au magazeti hivyo namsihi huyu muheshimiwa aache hio tabia ya kuegemea magazeti kwa vile hata watu wa magazeti huwa na ajenda zao naomba ujifunze kutoka kwa maneno ya JUMA NKAMIA aliyokwamia Bungeni
Pg.3.JPG


kwa hiyo una maanisha tusiyaamini magazeti??? basi pendekeza yafutwe yasiwepo kabisa. Au unataka tuwe tunasoma uhuru tuuuuuuu??? wewe sijui una matataizo gani??? gazeti linaonyesh mpaka picha za watu unaowafahamu, bado huliamini??? si ajabu siku moja hata utashindwa kuamini picha na hotuba ya rais wako jakaya kilaza kikwete, kwa sababu tu imeandikwa kwenye gazeti. kwa akili yako hata ile picha ya askari akimfyatulia silaha D. Mwangozi mbele ya mpuuzi kamuhanda na maafisa wengine wa serikali nayo pia nadhani huiamini. WEWE NI BONGE LA ZUZU HAKYANANI!!!!



Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waling'oe madarakani hili li serikali la ccm MAONGO/MAJAMBAZI/MAFISADI/WAUAJI.
 
Nataka kuelewa zile siku saba alizotoa mnyika kumfikisha vuvuzela Nape kwa pilato hazijaisha? mbona kimya? naanza kutilia shaka umakini wa kauli za kamanda Mnyika!!
 
kwa hiyo una maanisha tusiyaamini magazeti??? basi pendekeza yafutwe yasiwepo kabisa. Au unataka tuwe tunasoma uhuru tuuuuuuu??? wewe sijui una matataizo gani??? gazeti linaonyesh mpaka picha za watu unaowafahamu, bado huliamini??? si ajabu siku moja hata utashindwa kuamini picha na hotuba ya rais wako jakaya kilaza kikwete, kwa sababu tu imeandikwa kwenye gazeti. kwa akili yako hata ile picha ya askari akimfyatulia silaha D. Mwangozi mbele ya mpuuzi kamuhanda na maafisa wengine wa serikali nayo pia nadhani huiamini. WEWE NI BONGE LA ZUZU HAKYANANI!!!!



Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waling'oe madarakani hili li serikali la ccm MAONGO/MAJAMBAZI/MAFISADI/WAUAJI.
Haya magazeti ni waongo sana kuna siku walibandika picha za fujo za morogoro za maandamano ya wanafunzi wa kiisilamu wakabadika kwenye habari za UWAMSHO zanzibar je unakumbuka sasa ni waongo sana hawa muheshimiwa kuwa makini na vyombo hivyo wanatumia picha za kubambikiza
 
Nimekuwa nikishtushwa sana na Muheshimiwa mbunge wetu Mnyika mara nyingi amekuwa akiegemea sana kwenye habari za magazeti too much na huwa inaeleweka ya kwamba magazeti huwa yanachakachua sana habari, kuna siku Mheshimiwa JUMA NKAMIA Mbunge wa CCM aliwahi kumwambia kwamba Nchi haiendeshwi na vyombo vya habari au magazeti hivyo namsihi huyu muheshimiwa aache hio tabia ya kuegemea magazeti kwa vile hata watu wa magazeti huwa na ajenda zao naomba ujifunze kutoka kwa maneno ya JUMA NKAMIA aliyokwamia Bungeni
Pg.3.JPG



Wewe ni hewaa kabisa. Kwataarifa yako huyu ni mwanasheria hivyo anajua ni namna gani ya kutumia vielelezo. Kuna ushahidi mwingi tu, ila utakuja kutolewa pale panapohusika. Kama wewe hutaki kuamini hicho hapo gazetini, nenda kapinge mahakamani kuwa ni uongo ndipo uone. Kwasasa tunaendelea kuamini hili, na bado hatua zingine zinaendelea ili tukomeshe udhalimu huu.
 
Unajua mapedejee (Ma PDG) wanaotajwa-tajwa kwenye nyimbo na wakongo ni watu wenye kutia mashaka kuhusu 'personalitiy' zao. Angalia mfano... Papa msofe (ni jambazi), ndama mtoto wa ng'ombe (alituhumiwa mauaji ya albino), na kadhalika. Makala naye hua anatajwa-tajwa. Wakati huu umafia wa akina Savimbi kwenye siasa sio muda wake. CCM itaondolewa kwenye box la kura na Watanzania wengine wataongoza nchi hii. Ubabe hauna nafasi kwa tanzania ya sasa kwani demokrasia imefika kiwango cha kutokamatika. Kwa hili JK anastahili pongezi. Kina Makala na umafia wao watatupwa pembeni kama sio kuishia lupango.
 
Jitahidi upate picha mkuu ya hao vijana utuwekee hapa ili Nepi aumbuke.
 
Sio Mvomero tu ni wilaya zote nchini, mwambie huyo mtoro wa chuo kuwa CCM imekuwa ikiendesha makambi ya vijana kabla yeye hajazaliwa na itaendelea kufanya hivyo hata baada ya yeye kufa.
 
Nimekuwa nikishtushwa sana na Muheshimiwa mbunge wetu Mnyika mara nyingi amekuwa akiegemea sana kwenye habari za magazeti too much na huwa inaeleweka ya kwamba magazeti huwa yanachakachua sana habari, kuna siku Mheshimiwa JUMA NKAMIA Mbunge wa CCM aliwahi kumwambia kwamba Nchi haiendeshwi na vyombo vya habari au magazeti hivyo namsihi huyu muheshimiwa aache hio tabia ya kuegemea magazeti kwa vile hata watu wa magazeti huwa na ajenda zao naomba ujifunze kutoka kwa maneno ya JUMA NKAMIA aliyokwamia Bungeni
Pg.3.JPG

Tatizo mnyika ana copy na kupaste atumii akil yake mwenyewe
 
acha uzushi wewe, nimetoka huko juzi sijaona kitu kama hicho acheni kujengea hofu wananchi bila sababu yoyote ya msingi.
 
yaani yeye reference zake ni magazeti tuuu basi hana jengine
ulitaka reference atoe kwenye tumbo la WASIRA au KOMBA? Majitu mengine yamekaririshwa vibaya yanafikiri reference ni hadi itoke kwenye mavitabu ya KARL MAX. Ilimika jomba kuna vyanzo vingi vya kupata habari na gazeti ni mojawapo
 
Nimekuwa nikishtushwa sana na Muheshimiwa mbunge wetu Mnyika mara nyingi amekuwa akiegemea sana kwenye habari za magazeti too much na huwa inaeleweka ya kwamba magazeti huwa yanachakachua sana habari, kuna siku Mheshimiwa JUMA NKAMIA Mbunge wa CCM aliwahi kumwambia kwamba Nchi haiendeshwi na vyombo vya habari au magazeti hivyo namsihi huyu muheshimiwa aache hio tabia ya kuegemea magazeti kwa vile hata watu wa magazeti huwa na ajenda zao naomba ujifunze kutoka kwa maneno ya JUMA NKAMIA aliyokwamia Bungeni
Pg.3.JPG
Bora hata ungejiita pepopunda maana ndio jina unalositahili! Juma Nkamia na utupu wake wa akili, wewe umeona ni mtu wa kusikilizwa?Pole sana.
 
Back
Top Bottom