Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,592
- 52,284
Mimi nakaa ubungo, maeneo ya mbezi luis mitaa ya magarisaba, kule kunatengenezwa barabara sasa.
greda linapita kuchonga barabara, japo wananchi mnachangia kidogo hela ya mafuta (mm sijachanga
lakini brbr imeshatengenezwa). Eneo la kata fulani pana kiongozi wa chamachetu ni mmama, yeye aligoma greda lisipite eti kwa nn wapinzani waweze, walimwita yule mm wakamsuta kama mtt mdogo, siku iliyofuata yaani jmosi iliyopita greda likafanya kazi.
Mm naona walau kumefanyika kitu, japo nilienda kupiga kura na uzee wangu sijajuta sana kwa kuwa hakujawahi kufanyika chochote toka ccm imezaliwa.
Nashauri wale walalamikaji wajipange ili wajiletee maendeleo msibweteke kumngoja mnyika, naye ni mtu kama ww
tena mjue kabisa kuwa hana say kwenye serkali yetu ya kifisadi.
Nawasilisha.
greda linapita kuchonga barabara, japo wananchi mnachangia kidogo hela ya mafuta (mm sijachanga
lakini brbr imeshatengenezwa). Eneo la kata fulani pana kiongozi wa chamachetu ni mmama, yeye aligoma greda lisipite eti kwa nn wapinzani waweze, walimwita yule mm wakamsuta kama mtt mdogo, siku iliyofuata yaani jmosi iliyopita greda likafanya kazi.
Mm naona walau kumefanyika kitu, japo nilienda kupiga kura na uzee wangu sijajuta sana kwa kuwa hakujawahi kufanyika chochote toka ccm imezaliwa.
Nashauri wale walalamikaji wajipange ili wajiletee maendeleo msibweteke kumngoja mnyika, naye ni mtu kama ww
tena mjue kabisa kuwa hana say kwenye serkali yetu ya kifisadi.
Nawasilisha.