Mnyika: Don't tell me we need rocket science to solve congestion at this single lane bridge!!!

Kasheshe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
4,694
787
Ndugu, Kweli nimeamini safari ya maendeleo ya Tanzania ni ndefu; najiuliza hawa wabunge hodari sana kutoka chama makini sana Tanzania wameshindwa ku-solve issue ndogo kiasi hiki ya kuondoa foleni kwenye daraja linalounga Kigogo-Ubungo Road na Mandela Road pale External. Kama uongozi wa serikali kuu au mitaa sio ku-ondoa kero ndogo ndogo kama hizi kwa ku-set directions, mimi naomba nisiwe kiongozi daima!

Najua wanasiasa including mbunge maarufu sana wa jimbo la ubungo atasema anamipango ya kujenga daraja jipya, this is good na kwa sasa sina shida sana na hilo, maana najua taifa bado lina mambo mengi na linakusanya kodi kidogo yaani ya watanzania wasiozidi 2-5%.


Langu mimi ni hili, kitendo tu cha kuweka askari -private au kuwapatia vijana 6 ajira wa mabibo external... tena kwa malipo ya kima cha chini....

Waweze kuwa pale kwa zamu mbili 8hrs each, meaning we need 4 of them... then wawili wa akiba, kina uwezo wakuondoa msongamano kwenye ile daraja kwa sasa without any problems...

Resources needed. TZS 150,000 x 8 = 1.2M TZS per month only!!! hii inaokoa mafuta mengi yanayotumika pale, time ya waTanzania wengi, polution reductions etc.

One time cost (max 200,000TZS), bango la kila upande kuonyesha ni magari kumi (10) tu kila upande yanaruhusiwa wakati wa msongamano on both sides at a time. Hao vijana askari/private kazi yao ni ku-enforce that by law.

Utaratibu;

Kila upande kuruhusiwa magari kumi kwa wakati....


Nauliza mh. Mnyika, Diwani wa Ubungo Maziwa, Mkurugenzi wa Kinondoni, Mkuu wa Mkoa... do we need to import technology from "Kwa hisani ya watu wa marekani" kufanya hili?


Nawasilisha.
 
Ndugu, Kweli nimeamini safari ya maendeleo ya Tanzania ni ndefu; najiuliza hawa wabunge hodari sana kutoka chama makini sana Tanzania wameshindwa ku-solve issue ndogo kiasi hiki ya kuondoa foleni kwenye daraja linalounga Kigogo-Ubungo Road na Mandela Road pale External. Kama uongozi wa serikali kuu au mitaa sio ku-ondoa kero ndogo ndogo kama hizi kwa ku-set directions, mimi naomba nisiwe kiongozi daima!

Najua wanasiasa including mbunge maarufu sana wa jimbo la ubungo atasema anamipango ya kujenga daraja jipya, this is good na kwa sasa sina shida sana na hilo, maana najua taifa bado lina mambo mengi na linakusanya kodi kidogo yaani ya watanzania wasiozidi 2-5%.


Langu mimi ni hili, kitendo tu cha kuweka askari -private au kuwapatia vijana 6 ajira wa mabibo external... tena kwa malipo ya kima cha chini....

Waweze kuwa pale kwa zamu mbili 8hrs each, meaning we need 4 of them... then wawili wa akiba, kina uwezo wakuondoa msongamano kwenye ile daraja kwa sasa without any problems...

Resources needed. TZS 150,000 x 8 = 1.2M TZS per month only!!! hii inaokoa mafuta mengi yanayotumika pale, time ya waTanzania wengi, polution reductions etc.

One time cost (max 200,000TZS), bango la kila upande kuonyesha ni magari kumi (10) tu kila upande yanaruhusiwa wakati wa msongamano on both sides at a time. Hao vijana askari/private kazi yao ni ku-enforce that by law.

Utaratibu;

Kila upande kuruhusiwa magari kumi kwa wakati....


Nauliza mh. Mnyika, Diwani wa Ubungo Maziwa, Mkurugenzi wa Kinondoni, Mkuu wa Mkoa... do we need to import technology from "Kwa hisani ya watu wa marekani" kufanya hili?


Nawasilisha.
Kati ya hizo tshs 200,000/- wewe mtumiaji utachangia ngapi?
 
Ndugu, Kweli nimeamini safari ya maendeleo ya Tanzania ni ndefu; najiuliza hawa wabunge hodari sana kutoka chama makini sana Tanzania wameshindwa ku-solve issue ndogo kiasi hiki ya kuondoa foleni kwenye daraja linalounga Kigogo-Ubungo Road na Mandela Road pale External. Kama uongozi wa serikali kuu au mitaa sio ku-ondoa kero ndogo ndogo kama hizi kwa ku-set directions, mimi naomba nisiwe kiongozi daima!

Najua wanasiasa including mbunge maarufu sana wa jimbo la ubungo atasema anamipango ya kujenga daraja jipya, this is good na kwa sasa sina shida sana na hilo, maana najua taifa bado lina mambo mengi na linakusanya kodi kidogo yaani ya watanzania wasiozidi 2-5%.


Langu mimi ni hili, kitendo tu cha kuweka askari -private au kuwapatia vijana 6 ajira wa mabibo external... tena kwa malipo ya kima cha chini....

Waweze kuwa pale kwa zamu mbili 8hrs each, meaning we need 4 of them... then wawili wa akiba, kina uwezo wakuondoa msongamano kwenye ile daraja kwa sasa without any problems...

Resources needed. TZS 150,000 x 8 = 1.2M TZS per month only!!! hii inaokoa mafuta mengi yanayotumika pale, time ya waTanzania wengi, polution reductions etc.

One time cost (max 200,000TZS), bango la kila upande kuonyesha ni magari kumi (10) tu kila upande yanaruhusiwa wakati wa msongamano on both sides at a time. Hao vijana askari/private kazi yao ni ku-enforce that by law.

Utaratibu;

Kila upande kuruhusiwa magari kumi kwa wakati....


Nauliza mh. Mnyika, Diwani wa Ubungo Maziwa, Mkurugenzi wa Kinondoni, Mkuu wa Mkoa... do we need to import technology from "Kwa hisani ya watu wa marekani" kufanya hili?


Nawasilisha.

Una wazo zuri!! Ila ile ni kazi za city planners!! Kaulizie ile barabara ni ya Tanroads au Manispaa? Kama ni ya Manispaa peleka wazo lako kwa Mkurugenzi wa Manispaa Hawa Watu wamekaaa Tu hata Hawajui wajibu wao!! Hii sio kazi ya Mbunge!! Labda diwani wa eneo husika anaweza akasaidia!!
 
Una wazo zuri!! Ila ile ni kazi za city planners!! Kaulizie ile barabara ni ya Tanroads au Manispaa? Kama ni ya Manispaa peleka wazo lako kwa Mkurugenzi wa Manispaa Hawa Watu wamekaaa Tu hata Hawajui wajibu wao!! Hii sio kazi ya Mbunge!! Labda diwani wa eneo husika anaweza akasaidia!!

Du! Asante, you guys mkiingia madarakani mtakuwa wakorofi na watata sana...lets wait and see
 
Kati ya hizo tshs 200,000/- wewe mtumiaji utachangia ngapi?

Aiseee!!!! Nalipa zaidi ya kiasi hicho kwa mwezi kama kodi ya serikali... what else you need from me? nalipa kwa mujibu wa sheria za nchi.
 
Du! Asante, you guys mkiingia madarakani mtakuwa wakorofi na watata sana...lets wait and see

Inaonekana nia yako si daraja bali CDM kwa mujibu wa sentensi yako hapo juu.

Otherwise, ulitakiwa kusema hiyo 1.2m kwa mwezi inatoka wapi kwa Mnyika au Halimashauri ya kinondoni.
 
Una wazo zuri!! Ila ile ni kazi za city planners!! Kaulizie ile barabara ni ya Tanroads au Manispaa? Kama ni ya Manispaa peleka wazo lako kwa Mkurugenzi wa Manispaa Hawa Watu wamekaaa Tu hata Hawajui wajibu wao!! Hii sio kazi ya Mbunge!! Labda diwani wa eneo husika anaweza akasaidia!!
Habari za intelijensia nilizo nazo ni kwamba barabara hiyo na daraja vinaweza kushughulikiwa mwaka huu wa 2012, kwa kupanuliwa na barabara kujengwa upya.
 
Ndugu, Kweli nimeamini safari ya maendeleo ya Tanzania ni ndefu; najiuliza hawa wabunge hodari sana kutoka chama makini sana Tanzania wameshindwa ku-solve issue ndogo kiasi hiki ya kuondoa foleni kwenye daraja linalounga Kigogo-Ubungo Road na Mandela Road pale External. Kama uongozi wa serikali kuu au mitaa sio ku-ondoa kero ndogo ndogo kama hizi kwa ku-set directions, mimi naomba nisiwe kiongozi daima!

Najua wanasiasa including mbunge maarufu sana wa jimbo la ubungo atasema anamipango ya kujenga daraja jipya, this is good na kwa sasa sina shida sana na hilo, maana najua taifa bado lina mambo mengi na linakusanya kodi kidogo yaani ya watanzania wasiozidi 2-5%.


Langu mimi ni hili, kitendo tu cha kuweka askari -private au kuwapatia vijana 6 ajira wa mabibo external... tena kwa malipo ya kima cha chini....

Waweze kuwa pale kwa zamu mbili 8hrs each, meaning we need 4 of them... then wawili wa akiba, kina uwezo wakuondoa msongamano kwenye ile daraja kwa sasa without any problems...

Resources needed. TZS 150,000 x 8 = 1.2M TZS per month only!!! hii inaokoa mafuta mengi yanayotumika pale, time ya waTanzania wengi, polution reductions etc.

One time cost (max 200,000TZS), bango la kila upande kuonyesha ni magari kumi (10) tu kila upande yanaruhusiwa wakati wa msongamano on both sides at a time. Hao vijana askari/private kazi yao ni ku-enforce that by law.

Utaratibu;

Kila upande kuruhusiwa magari kumi kwa wakati....


Nauliza mh. Mnyika, Diwani wa Ubungo Maziwa, Mkurugenzi wa Kinondoni, Mkuu wa Mkoa... do we need to import technology from "Kwa hisani ya watu wa marekani" kufanya hili?


Nawasilisha.
mkinywa denge mchana nendeni mkalale na sio kuandika upuuzi kwenye forum. Unaacha kulaumu serikali yako iliyojaa mazoba na maasherati yanayoibiwa mpaka na machangudoa hotelini halafu unaandika *****
 
Kasheshe, naona Mnyika amesahau kabisa lile daraja ni muhimu sana, labda kulipigia kelele hakutampa promo kubwa kama mambo mengine anayoyapigia kelele. Kwa waliouliza hizo hela zitapatikana wapi 1.2M kwa mwezi ni sawa na 40K kwa siku moja, ni sawa na magari 800 kila dereva achangie sh. 50
 
Back
Top Bottom