Mnyika athibitisha UDHAIFU wa JK bungeni Jioni hii.

Dhaifu walikuwa kimya wanamsikiliza afu walionekana kumuelewa ila alivomaliza wamesahau yote..dhaifu wameshachakaa
 
akili ya mnyika ni sawa na kuweka pamoja akili ya mwigulu,komba 500,fundi mchundo manyanya 100 na lusinde 1000
 
Yule mbunge wa babati asiyejua hata kuongea kiswahili vizuri aliyesema wabunge vijana wanachangia ovyo ovyo nani ana CV yake atuwekee hapa. nina wasi wasi na shule yake.
 
Huyo huyo si ndio alikuwa anadai katiba hii mbaya na anataka ibadilishwe mpaka akawa anasusa bungeni. vipi leo imekuwa nzuri?

Nakwambieni huyu kijana anachanganyikiwa, kama mnabisha mtanambia, maana nimem-observe, mara anacheka cheka bila sababu, mara ananuna bila sababu, mara anakasirika bila sababu, mara anaongea vitu vya ajabu.

Mtazameni sana jamani, asije akafanya vituko vikubwa kuliko hayo mjengoni, huu ni ushauri wa bure.
Uko nje ya mada mr.layman


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ujanja-ujanja wa serikali ya Tanzania utatuingiza matatani watanzania. Mfano hili suala la meli za Iran kupeperusha bendera ya Tanzania ili kuepuka vikwazo, pia migogoro ya serikali na watumishi wake inachelewesha maendeleo ya nchi, harafu Tanzania kuwa njia ya panya kwa usafirishaji haramu wa watu vyote hivyo ni ushahidi wa wazi wa UDHAIFU katika utendaji
 
Hii ndio Tz..
Ina VX zaid ya 100 kwa mawaziri,manaibu waziri,wakuu wa mikoa nk..lkn lkn haina machine ya CT Scan hata moja nchi nzima kwa wananchi wake.
Kila wilaya mpaka zile mpya zina VX kwa wakuu wa wilya lkn hazina machine za XRay kwa wananchi wake.
Nchi yenye kampuni na wafanyakaz zaid ya 1000 lkn ndege haina ndege.
Nchiiliyohuru kwa mia 50 lkn japo ni 13% tu ya wananchi wake wana umeme.pia bado haina umeme wa uhakika.

Nchi yenye utajiri wa madini,lkn wanaotajirika ni wageni.

Nchi inayogopa kukata kodi kiduchu kwa wageni wanaofanya biashara ya madini,lkn inakomalia kodi kubwa kwa wananchi wake walioamua kuwa wanywaji sababu ya stress za maisha.

Hii ndio Tanzania..Tumejaribu, tumeweza na tunasonga mbele kwa kasi kurudi nyuma.
 
Back
Top Bottom