Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
siku 7 zimepita? Mbona mnahaha kabla?
Kwanini mnayatumia maneno msiojua maana na matumizi yake?Mzimu wa JK umeanza kumwandama
Jembe JJ namuamini hawezi kutoa maneno bila ushahidi, nina uhakika ana kitu ambacho kakishika km ushahidi, we subiri uone, nashauri ushahidi uwekwe wazi wasifichwe.
nawashangaa sana wana jf ni kwamba chemva auwezi yeye kuiba au kufanya njama za wizi? Mnyika siyo mjinga kuzungumza haya kwenye bunge na akiwa hana ushahidi swala hapa ni sisi kusubiri mnyika alete data na mambo yawe wazi ijulikane nchemba aliihusika vp na wizi wa pesa za epa,
Usikurupuke kuandika mambo bila kufikiri vyema .Kama una uhakika kuwa walioingia kazini mwaka 2006/2007 hawakuhusika na uwizi wa fedha za EPA una haki ya kuandika hayo unayosema .Unajua fedha za EPA zilianza kuibiwa lini na kukoma lini ?Unauhakika gani kuwa fedha za EPA kuwa ziliibiwa zote mpaka kufikia 2005,uandike kuwa aliyeingia 2006 hakuzikuta?,Unajua nini maana ya Fehda za EPA? Unauhakika gani kuwa a/c ya fedha hizo ilifungwa kufikia 2005 kwa hiyo walioingia 2006 hawakuweza kutoa ama kuweka fedha kwenye a/c hiyo?Katika hali ya kuchanganyikiwa na sek seke za Nchemba, Mh. Mnyika alijikuta akijiingiza matatani bure kwa kudai kwamba Nchemba naye ni mhusika wa wizi wa EPA pale BOT. Sasa Nchemba laiingia BOT 2006 na tayari wizi ulikwishatokea, na Mnyika amepewa siku 7 kutoa uthibitisho. Atafanya nini masikini kijana huyu ambaye ni kama kachanganyikiwa kabisa sasa.
Nawashauri wabunge wa CDM kuepuka kushindana na Nchemba, watajikuta pabaya sana. Huyu jamaa ni bingwa wa ku provoke watu. .Achaneni naye, mtaumia
Source: Mnyika amhusisha Nchemba na EPA
Mnyika anashangilia baada ya kushinda kesi, hachangii mijadala ya bunge.Katika hali ya kuchanganyikiwa na sek seke za Nchemba, Mh. Mnyika alijikuta akijiingiza matatani bure kwa kudai kwamba Nchemba naye ni mhusika wa wizi wa EPA pale BOT. Sasa Nchemba laiingia BOT 2006 na tayari wizi ulikwishatokea, na Mnyika amepewa siku 7 kutoa uthibitisho. Atafanya nini masikini kijana huyu ambaye ni kama kachanganyikiwa kabisa sasa.
Nawashauri wabunge wa CDM kuepuka kushindana na Nchemba, watajikuta pabaya sana. Huyu jamaa ni bingwa wa ku provoke watu. .Achaneni naye, mtaumia
Source: Mnyika amhusisha Nchemba na EPA
kweli kaingia kichwa kichwa........imekaa vibayamnyika nilikushauri tulizana usipende kuropoka hovyo angalia sasa umeingia kichwa kichwa kwenye anga za mwigulu nchemba.
Umemtaja kuwa ni mmoja wa watuhumiwa wa epa, wakati wizi huo umetokea mwaka 2005, wakati nchemba ameingia bot mwaka 2006 wakati wizi huo ukitokea alikuwa chuoni.
Haya lete huo uthibitisho wa madai yako.
ndiyo maana imeandikwa kakalia kuti kavu... Hajaanguka bado. Anaendelea kujiokoa asianguke. Zingatia kwamba kakalia kuti kavumleta thread ameekurupuka, na inaonekana yupo kwy payroll ya nchemba, 'etii mnyika akalia kuti kavu' haupaswi kuhukumu kabla ya ushahidi kuletwa. Subiri siku saba ndio ulete maoni yako hayo na c kuhukumu kabla ya!
Hilo ni tatizo lako, mimi naongelea hili tatizo alilonalo Mnyika kabla hajaanza kupashana na Nchemba.
Namuonea huruma huyu kijana na nnatumai watu wazima wenzangu wanaomzunguka (walio karibu nae) wananisoma pia na watafata ushauri japo kwa kumtazama mwenendo wake kwa umakini (ndani na nje ya bunge) wala sileti hizi mada kuhusu Mnyika kwa ajili ya kujibizana kwake Bungeni au hoja zake, la hasha, mimi naongelea afya yake.