Kwa nini Zitto? Haujui kuwa Zitto ni Boss wa Mnyika Bungeni na Chamani?Je tunaweza kuona CV ya Mnyika jamani.
Kwani nina hamu kubwa sana kuona ana shule kiasi gani huyu. Maana naona Chadema wana mpromote sana na kumkandamiza Zitto.
uwekeeni CV yake tuone shule yake sio kupewa sifa tu.