Mnyika aanika Siri nzito CHADEMA!!

Safi sana huu ni mpango mzuri. Vitu vya kudumu huanza kujengwa kuanzia chini kwenye misingi. Busara itumike kwenye ile ruzuku angalau ifike hata harufu tu kwenye haya matawi ya chama. Kuendesha matawi kwa kutumia mifuko binafsi huwafanya wanahudumia kuona kama chama ni mali yao na hii itapunguza demokrasia ya ndani.
 
Title vs Contents are differ.
Hahaaaaa......mwenyewe nimeshangaa....!

Hivi Tanzania Daima na mashabiki wa chadema wote viraza. Jiangalieni mmejinyea hamwoni. Kichwa habari kingine habari utumbo. Source Tanzania Daima Mbowe. Wadau: viraza cdm
 
Safi sana huu ni mpango mzuri. Vitu vya kudumu huanza kujengwa kuanzia chini kwenye misingi. Busara itumike kwenye ile ruzuku angalau ifike hata harufu tu kwenye haya matawi ya chama. Kuendesha matawi kwa kutumia mifuko binafsi huwafanya wanahudumia kuona kama chama ni mali yao na hii itapunguza demokrasia ya ndani.

Nani akupe ruzuku? Josephine ameondoka au Bilicanas imepotea? we kiraza tu komaa hivyo hivyo.
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinatarajia kuzindua matawi katika kila kata nchini, ili kujihakikishia ushindi wa asilimia kubwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwaka 2014 nchi nzima.

Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, katika ziara ya ufunguzi wa matawi na msingi 10 ya chama hicho kata ya Kimara.

Akizindua tawi la Kilungule ‘B’, Mnyika aliwaambia viongozi wa matawi hayo kuziona ofisi hizo kama mbadala wa ofisi za Serikali za Mtaa zinazoongozwa na CCM kwa kuwasaidia wananchi.

Aliwataka viongozi hao kutumia changamoto na matatizo wanayopelekewa na wananchi kuwabana wenyeviti wa serikali za mitaa, ili kuhakikisha hawarudi mwaka 2014.

“Ndugu zangu wa Kilungule ‘B’ pamoja na changamoto za kisiasa mlizokuwa nazo mmefanikiwa kujenga ofisi za matawi na misingi … zitumieni vizuri, ili tuweze kupata ushindi mkubwa katika chaguzi zinazokuja,” alisema.

Mnyika pia amewakabidhi viongozi wa matawi hayo taarifa za mipango na matumizi ya maendeleo ya jimbo lao ili kuhakikisha wanafuatilia kwa karibu mambo yanayotekelezwa na yasiyotekelezwa na serikali.

Pamoja na mambo mengine, Mnyika alitumia fursa hiyo kutoa mwongozo wa kudai Katiba mpya, ili kuhakikisha mwaka 2015 wanapata Katiba itakayowaondolea dhuluma nyakati za uchaguzi mkuu.


Source: Tanzania Daima
sija ona jimpa alolo fanya mnyika hapo.
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinatarajia kuzindua matawi katika kila kata nchini, ili kujihakikishia ushindi wa asilimia kubwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwaka 2014 nchi nzima.

Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, katika ziara ya ufunguzi wa matawi na msingi 10 ya chama hicho kata ya Kimara.

Akizindua tawi la Kilungule ‘B’, Mnyika aliwaambia viongozi wa matawi hayo kuziona ofisi hizo kama mbadala wa ofisi za Serikali za Mtaa zinazoongozwa na CCM kwa kuwasaidia wananchi.

Aliwataka viongozi hao kutumia changamoto na matatizo wanayopelekewa na wananchi kuwabana wenyeviti wa serikali za mitaa, ili kuhakikisha hawarudi mwaka 2014.

“Ndugu zangu wa Kilungule ‘B’ pamoja na changamoto za kisiasa mlizokuwa nazo mmefanikiwa kujenga ofisi za matawi na misingi … zitumieni vizuri, ili tuweze kupata ushindi mkubwa katika chaguzi zinazokuja,” alisema.

Mnyika pia amewakabidhi viongozi wa matawi hayo taarifa za mipango na matumizi ya maendeleo ya jimbo lao ili kuhakikisha wanafuatilia kwa karibu mambo yanayotekelezwa na yasiyotekelezwa na serikali.

Pamoja na mambo mengine, Mnyika alitumia fursa hiyo kutoa mwongozo wa kudai Katiba mpya, ili kuhakikisha mwaka 2015 wanapata Katiba itakayowaondolea dhuluma nyakati za uchaguzi mkuu.


Source: Tanzania Daima
Mkuu, najua una Mapenzi mema sanaaa na CDM, same applies to me, lakini hii title yako haiendani kabisa na Content ya Thread
 
Title vs Contents are differ.
Hahaaaaa......mwenyewe nimeshangaa....!

Hivi Tanzania Daima na mashabiki wa chadema wote viraza. Jiangalieni mmejinyea hamwoni. Kichwa habari kingine habari utumbo. Source Tanzania Daima Mbowe. Wadau: viraza cdm
Mkuu tukusaidieje maana hata kiswahili kinakushinda, rudi shule hujachelewa!
 
Hahahaaaaaaa.........walitaka tusome, bila hivo pengine usingevutiwa kusoma.
So mwandishi amefanikiwa kuvuta watu ila kila anaeingia anabaki kucheka tu... maana hiyo said "siri Nzito' haonekani ila ametubamba!
 
Nimekimbia mbio nikafiri yaliyomo yamo kumbe....kishigongo zaidi
 
Molemo unazeeka vibaya! hiyo siri nzito iko wapi? au ulitaka tufungue kusoma kuhusu ufunguzi wa matawi??Chadema hatutaki hizo style
 
Molemo, hivi unajua maana ya kuanika siri nzito..

Nimejaribu kuipitia hii thread yako zaidi ya mara 10 lakini sijaona hiyo siri nzito.

Nipange upya Molemo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom