Mnyamwanga toka msangano baada ya kufika dar.

dr chris

Member
Sep 23, 2011
76
12
wanyamwanga ni kabila linalo linalopatkana ktk wilaya ya mboz na pia nch jilan zambia.wanakawaida ya kusafiri makundmakund kwenda kutembelea ndg wa mbali na hukaa hata mwez mzm.bac jamaa walienda dar wakafika na mwenyeji wao akawapokea ck moja wakiwa matembez bila mwnyj wao walianz kuhesabu magorofa kwa kshndana mnyha mmoja jilani na ndugu yao akawatambua na kuwaambia ni marufuku kuhesabu nyumb bila kulipia hivyo akawataka kila m2 atoe hesabu yake na kisha kulipa wa kwanza nyumba 5 wa pil 4 wa tatu 6 wa nne 8 bac kila m2 akalipa elf moja kwa kila nymba baada ya yuld mnyha kuondoka kila m2 akaanza kujdai jins alivyodanganya.mi nilkuwa nimehesabu ishlin nimemdangany nikalipa
 
wanyamwanga ni kabila linalo linalopatkana ktk wilaya ya mboz na pia nch jilan zambia.wanakawaida ya kusafiri makundmakund kwenda kutembelea ndg wa mbali na hukaa hata mwez mzm.bac jamaa walienda dar wakafika na mwenyeji wao akawapokea ck moja wakiwa matembez bila mwnyj wao walianz kuhesabu magorofa kwa kshndana mnyha mmoja jilani na ndugu yao akawatambua na kuwaambia ni marufuku kuhesabu nyumb bila kulipia hivyo akawataka kila m2 atoe hesabu yake na kisha kulipa wa kwanza nyumba 5 wa pil 4 wa tatu 6 wa nne 8 bac kila m2 akalipa elf moja kwa kila nymba baada ya yuld mnyha kuondoka kila m2 akaanza kujdai jins alivyodanganya.mi nilkuwa nimehesabu ishlin nimemdangany nikalipa

Nimeipenda story yako japokua sijajua unawzungumzia akina nani hasa, je unawazungumzia Wanyiha au Wanyamwanga?

Kuna sehemu unazungumzia wanyamwanga lakini as u go story inabadilika na kua ya wanyiha!

Kama ulimaanisha wanyiha asante kwa Dongo! "Mnyiha pure Mimi!"
 
nazungumzia mnyamwanga halafu mnyiha anakuja kuhusika ktk kumchangamsha kwa kumdai ushuru.ndio hivyo sekuru unaweza uwe "mwizikuru' wangu kwani mie pia ni full mnyiha
 
Back
Top Bottom