CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
- Thread starter
- #21
Mmeniharibia thread yangu
Hata Makamo wa Rais anawapenda hawa wanyama...hapa yuko na mama Jane Goodall.......mzungu aliyehamia Tanzania kwa kuwa imejaliwa wanyama hawa..nasikia hata kule bustani za Ikulu walikuwepo kabla hawajahamia maofisini
Wasira ni maliasili mnyama!
Ni kweli wanamsingiziaWasira wa watu, hajafanana naye hata kidogo. labda midomo tu.
toba.....Wasira
naomba hela za kwenda india kutibiwa mbavu,coz nimecheka hadi zmevunjika tatuNi kweli wanamsingiziaWasira wa watu, hajafanana naye hata kidogo. labda midomo tu.
Wasira
Wasira
jamani zinjanthropus, wasira evolution in process.
Aiseee, sasa nimeamini duniani wawili wawili.Ni kweli wanamsingiziaWasira wa watu, hajafanana naye hata kidogo. labda midomo tu.
Jamani hebu tuheshimu viongozi wetu.....Wassira anaingiaje hapa?
Jamani hebu tuheshimu viongozi wetu.....Wassira anaingiaje hapa?