Hivi siku hizi jengo la bunge lekukwa uwanja wa mpira!!!! maana kila anayefunga na kupewa kikombe anakimbilia bungeni mbona sie wakutwaa kumbe la kuku na mbuzi hatupewi hiyo nafasi ya kwenda bungeni na kuku wetu ama mbuzi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi siku hizi jengo la bunge lekukwa uwanja wa mpira!!!! maana kila anayefunga na kupewa kikombe anakimbilia bungeni mbona sie wakutwaa kumbe la kuku na mbuzi hatupewi hiyo nafasi ya kwenda bungeni na kuku wetu ama mbuzi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mtani.................jah hero amewakasirisha watumia masaburi
Huu sasa ni upuuzi,ule ubao ndio wa kupeleka bungeni?Unazi mwingine wa wabunge wetu umekithiri.Hivi siku hizi jengo la bunge lekukwa uwanja wa mpira!!!! maana kila anayefunga na kupewa kikombe anakimbilia bungeni mbona sie wakutwaa kumbe la kuku na mbuzi hatupewi hiyo nafasi ya kwenda bungeni na kuku wetu ama mbuzi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!