Biashara ni kununuliana na Kuuziana
Hawa wanashughulikia nyuso tu, wakivua utakimbia! Vyumba wanavyolala uvundo mtupu!
hata kama mzuka umekupanda ukikutana naye kitandani lazima ukimbie....au ndo wale tuliokuwa tunasimuliwa utotoni kuwa unaenda na demu geto mpo kitandani unataka kuamka ukazime taa yeye ananyoosha mkono kutoka kitandani mpaka kwenye swichi
Mambo mengine tunawasingizia wazungu tu, huyo dada anafanana na mzungu wapi hapo?
Hawa ni waimbaji wa taarabu, Jahazi Modern. Huyu wa kwanza ndo simwelewi kabisa, hata akiniita nadhani ntamkimbia!
mbona wanatisha urembo gani huo!
Huu ugomvi tuu unatafutwa hapa[/QUOTE
Kweli kwa hilo anatafuta ugomvi! Shauri yake wenzie tutakaa mbali tukiangalia anavyodundwa magumi ya kujitakia.
Tukirudi kwenye urembo, ah! Hata mie mpenda podari, vipuri n.k. kwa huyo dada nimebaki hoi! Sijui ni style ya wapi hiyo, labda ya lady gaga!