si unajua teena..pesa haina undugu
Sawa mkuu wacha tuendelee kupata vipande vipya kutoka extra orijino, wenge werason, wenge jb mpiana, nk.
si unajua teena..pesa haina undugu
Muziki wa dansi umeshika nafasi kubwa katika burudani katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Kongo Brazzaville.habari zenu wana jamvi..leo nimekumbuka mziki wa kikongo ulivyotamba enzi hizo..bendi ya Extra musica chini ya Uongozi wa Rogaroga ilitikisa sana. Tukumbushane nyimbo zao zilizotamba tukianza na Losambo..